Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,330
- 176,111
Fonabo is talented but aina ya muziki wake sio inayopendwa sana na wabongo. Level zake ni za mbele kusema kweli
Am watching now, daaah nimepitwa na mengi, sasa mbona huyu Fonabo mempenda gaufula
Fonabo is talented but aina ya muziki wake sio inayopendwa sana na wabongo. Level zake ni za mbele kusema kweli
Fonabo is talented but aina ya muziki wake sio inayopendwa sana na wabongo. Level zake ni za mbele kusema kweli
Si ni couple mpendwa, waliingia wote. Tunafaidi mnooo hahaha
Fonabo ni msanii hata baada ya bss anaweza kutoka .Fonabo is talented but aina ya muziki wake sio inayopendwa sana na wabongo. Level zake ni za mbele kusema kweli
Fonabo ni heavy weight sema mziki wake wa bongo hatumuelewiAm watching now, daaah nimepitwa na mengi, sasa mbona huyu Fonabo mempenda gaufula
HahahahhajajaNajua nilifikiri wamefanya sinema
Fonabo kipaji kiko juu zaidi kuliko wote, sema siyo entertaining.
Fonabo ni msanii hata baada ya bss anaweza kutoka .
Ana maisha marefu sana ya muziki. Huyu ni kama dogo salma yule wa zanzibar aliyekuwa na kina Walter chilamboFonabo ni msanii hata baada ya bss anaweza kutoka .
Hii ilikuwa wazi kama Lowassa kushinda urais.....
Au Ukimwona version ya Christian bella