Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,369
Dada katoa ushauri
Pole my dear. Update si unazipata eeh?Niliisubiri kwa hamu si ndio wamekata umeme!
Kitu clearrrrrr. Sipati picha ingekuwa sauti yangu hahahahaKafanya vizuri sana,sauti imetulia kabisa.
Dogo yuko vizuri ila believe me mpunga anaweza kuchukua fonabo
Kafanya vizuri sana,sauti imetulia kabisa.
Huyu kayumba na mauno yake hatareee
Aah umemuona mama mkwe wako mama angel mary?
Fonabo is talented but aina ya muziki wake sio inayopendwa sana na wabongo. Level zake ni za mbele kusema kwelihz nyimbo anazochagua Fonabo!
Fonabo ndio mwanamziki
Mpeni pesa zake huyu dogo
Aah master j na shaa