Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

dah why awe na back up

who is kayumba to yamoto band?

why wasimtoe kimziki before?

Kayumba ni member wa yamoto band...ila hiyo sio sababu ya yeye kushinda..Juhudi zake ndo zitampa ushindi..Dogo anajua
 
Watanzania Kama Ilivyo Kawaida Yetu Kwa MAJUNGU Na Tumeshaanza Sasa. Hakuna Ambaye Hajaona Juhudi Za KAYUMBA JUMA. Na Labda Nikuhakikishie Kuwa Huyu Ndiye Mshindi Wa BSS Na Asiposhinda Basi Ujue Hata Dr. Magufuli Hawi Rais Wetu Mwaka Huu 2015. Nilisema Kuwa Kati Ya ANGEL MARIE KATO Na KAYUMBA JUMA Lazima Mmoja Wapo Atakuwa MSHINDI Na Itakuwa Hivyo. Sijawahi Kutabiri Halafu Isiwe 100% Correct.

tunatoa stress za siasa huku buanaaa!mbona unatukera lakini?!
 
sikuona sababu ya AIKA kuvaa hivyo viatu!vinamnyima uhuru kabisa
 
Nahrel stick to producing,you are not a good singer at all.:thumbdown::thumbdown:
 
Kayumba anastahili kabisa kushinda. Amejibeba mtoto wa watu since day one na hajuagi kukosea. Kujuana na kina fella kusije kukafanya eti anyimwe hela au waseme kabebwa. Mtoto wa watu amejua kusimama mahali pake sahihi, Amejibeba mnooo. Mungu amshindie
 
Kayumba ni member wa yamoto band...ila hiyo sio sababu ya yeye kushinda..Juhudi zake ndo zitampa ushindi..Dogo anajua

Mi naona ka ni member wa yamoto akishinda sio fair na sio haki kwa wengine na kila mmoja ana juhudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom