Duhh,mtanange mgumu huo.
Frida au Angel Mary?Mimi namkubali sana yule dada anaye fanya rap
Weee my paulo hadanganyagi, itakuwa tu hukumuelewa wewe mwenyewe
Mimi namkubali sana yule dada anaye fanya rap
Hata sio mgumu, kayumba kishachukua hii.
mwenye kumjua huyu dada naomba msaada wa mawasiliano..nimempenda gafla
Najua Sure Boy Kayumba kitita ni chake,nasemea kwa hao wa Ku rap hao..kuwaweka wote wawili ni changamoto
Umenikumbusha ule wimbo wa wagosi wa kaya wa "humjui mkeo"
Haha. Naona umeshindwa kwake, unageukia kwangu. Kwani tulikukosea nini?
Frida au Angel Mary?
Yaani sijui kwanini nilihisi hilo.
Wapo wawili sasa, yupi?
Hiviii, kwahiyo mwaka huu kutakuwa na washindi wawili? Yaani wa kuimba na kurap?
Hahaha Angel mary huyo..Frida alirudishwa kwenye Mashindano so wamebaki top 6 nowMie shabiki andazi..nampenda yule mwenye dred achana na yule aliyotolewa jana..
Simjui hata jina duu dada yule ni shida anashtua hadi na salakasi
Hahaha Angel mary huyo..Frida alirudishwa kwenye Mashindano so wamebaki top 6 now
Eeh walisema "frida na Angel watashare kiti" (sijaelewa hapo) . Afu wakasema "top 6" na sio top 5Haaa hakutolewa tenaa...
Coz mimi nilivyoona wamekumbatiana na channel ikakata so sikujua kilichofuata
Mie shabiki andazi..nampenda yule mwenye dred achana na yule aliyotolewa jana..
Simjui hata jina duu dada yule ni shida anashtua hadi na salakasi