Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Koi baat nahiHahhaa shukriya dost
Koi baat nahiHahhaa shukriya dost
Teh "amemuomba Angel", sasa sijui kamuombajeHivi ameomba mawasiliano au picha ya kutafutia usingizi? Teh teh
Frida na angel wana share kiti, so imebaki top 6 now
Douta hii lugha mbona daddy haifahamu
Yule mwingine hakutoka?? Clouds ilizingua mwishoni.
Mamito si unajua mi najishughulisha na kukuza vipaji..Nataka nimsaini kwenye lebo yangu
Hakutoka kumbe, so imebaki top 6
kumbe ana wivu huyo..Nilijua nae timu hisa
Hatareee sanaDuhh,mtanange mgumu huo.
HahhahahaahahahaOk ok.Nilianza kuingiwa na wasiwasi..Nikasema baba black mama black huyu chotara katokea wapi tena
Teh teh..Una wivu kwenye nn sasa..We hauna kinyaa??
Teh namastee ni kama kusalimia bana, ungesema "shukriya"
Hehhehehehe me simooo
Weee my paulo hadanganyagi, itakuwa tu hukumuelewa wewe mwenyeweKhaaa Paulo Sergio De Souz ndio alinidanganyaga eti hicho ni kikorea sijui, jamani huyu mumeo sina hamu nae
Khaaa mie mahaba nimeyakutia tu kati, simooooYaani wewe tena ndio kuwadi utaachaje kuwemo?
Weee my paulo hadanganyagi, itakuwa tu hukumuelewa wewe mwenyewe