Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Mwee kiguu na njia wewe. Vizia alhamisi marudio

Mweeeh huo muda nitakuwa nyumbani kweli!! Ninavyopenda kuzurura mie, ukiwa jobless rahaaa unazurura tuuu, cute b itabidi airecord niione.
 
Last edited by a moderator:
Mweeeh huo muda nitakuwa nyumbani kweli!! Ninavyopenda kuzurura mie, ukiwa jobless rahaaa unazurura tuuu, cute b itabidi airecord niione.

Teh basi utaiangalia youtube.
 
Last edited by a moderator:
Exactly, but akijijulia ana sauti nzuri tu. Umemcheck frida?

Yeah..Frida nadhani amejitahidi zaidi ukilinganisha na last week...Last week alikuwa kama anashout..haikuwa na ladha sana..this week amekaza zaidi
 
Yeah..Frida nadhani amejitahidi zaidi ukilinganisha na last week...Last week alikuwa kama anashout..haikuwa na ladha sana..this week amekaza zaidi
She is so mwaah, nilipenda anavyorap afu anatembea kama anajikunja fulani hivi ki-hip hop. Ila pale mwishoni she was tensed hadi vimachozi jamani. Ila. Nimefurahi kusikia kuwa wanapatana na Angel mary
 
Naseeb yupo vizuriii na yeye, hahhaha kayumba ni hataree yule mtoto

Dogo mbaya sana..Can he mess up hata mara moja..Mana mpaka anabore..Mtu tangu show imeanza hakosei..sasa ndo nn..Mi simpigii kura..Nimeghairi
 
She is so mwaah, nilipenda anavyorap afu anatembea kama anajikunja fulani hivi ki-hip hop. Ila pale mwishoni she was tensed hadi vimachozi jamani. Ila. Nimefurahi kusikia kuwa wanapatana na Angel mary

Yeah..Nilimwonea huruma sana..Alilia kabisa..Angel alikuwa anaonekana hana wasiwasi hata kabla ya matokeo kutangazwa
 
Heaven Sent halafu mbona sielewi..Nimeona sehemu Frida na Angel wana namba moja ya kupigiwa kura..Hili sio bao la mkono kweli??..Kama kigezo ni kura za wananchi..Hawa watu(angel+frida) obvious watakuwa na kura nyingi zaidi..Hii sijui imekaaje
 
Last edited by a moderator:
Dogo mbaya sana..Can he mess up hata mara moja..Mana mpaka anabore..Mtu tangu show imeanza hakosei..sasa ndo nn..Mi simpigii kura..Nimeghairi
Hahahhaah nilikuwa sijaisoma hii, Ujikute tu humpigii kura kayumba wetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom