Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahaha ngoja niwasiliane na bi mkubwa missyroseDouta namuomba huyo marykato
Last edited by a moderator:
Hahaha ngoja niwasiliane na bi mkubwa missyroseDouta namuomba huyo marykato
Akikuonea sana huruma, basi utalala sitting roomUshamwagia godoro maji..Sijui ntalala wapi leo
kumbe ana wivu huyo..Nilijua nae timu hisa
Teh namastee ni kama kusalimia bana, ungesema "shukriya"Namasteee, my lovely brother mito hope umeshajua.
Douta namuomba huyo marykato
Hehhehehehe me simooo
Teh namastee ni kama kusalimia bana, ungesema "shukriya"
Aah kumbe ni mnyonge wako eeh, ntamsaidia kufanya actionAna huruma sana yule..Ataongea tu zen yataisha
Ushamwagia godoro maji..Sijui ntalala wapi leo
Akikuonea sana huruma, basi utalala sitting room
Clouds Najua marudio ni Alhamisi Saa 8 mchana na Jumamosi ni Saa 8 na nusu mchana. Star tv ni alhamisi Saa 9 na nusu.
C.c mito
afu kama ungeweza ungeangalia marudio katikati ya week coz ijumaa ndo fainali