Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Hahaa..we ukianza kumwangalia MaryKato mbona sisemi?

Teh teh..Sasa we unashindana na mwanaume..Tv mi si ndo nimenunua iweje unipangie masharti kipi niangalie na kipi nisiangalie
 
Angel Mary simkubali..muzik anaoimba sio mambo yangu japo yupo vizuri. Halafu mbona kama Jana alikuwa anajiamini sana? Wenzake wanatetemeka yeye anatabasamu kwa mbaaaali,au mimi tu?

Hata mie hao wawili siwaelewi kabisaaaaaa!! Kwakweli mie aina hiyo ya mziki hapana.
 
Teh teh..Sasa we unashindana na mwanaume..Tv mi si ndo nimenunua iweje unipangie masharti kipi niangalie na kipi nisiangalie

Haha..tuikate kati kati. Maana Ijumaa Kayumba akipita utanifukuza kwa hizo kelele.
 
Hata mie hao wawili siwaelewi kabisaaaaaa!! Kwakweli mie aina hiyo ya mziki hapana.

Kumbe na wewe huwaelewi? Nilishukuru alivyokatwa mmoja wao,maana sijui nilikuwa naonaje tu.
 
atoto my dear Kayumba ni wetu,yule popoma K sitaki hata kumsikia.
Siku hizi nadeal na upcoming tu.
Kuna yule Galatone aliyeimba Sina mali si unamjua?
Namkubali sana yule kijana,akaze buti tu maana kaanza vizuri sana.

Hahahaaaaa! Nimecheka kwa nguvu hadi watu wananishangaa!!

Yeah nampata, kijana akipata management nzuri atafika mbali, sema mziki wa tz magumashi mengi.
 
Last edited by a moderator:
Haha..tuikate kati kati. Maana Ijumaa Kayumba akipita utanifukuza kwa hizo kelele.
Hatuigawi katikati wala nn..Ijumaa hatuangalii kwenye tv..Ntakupeleka kwenye show..Sema ndo utakuwa unashangilia kwa masharti yangu..Nikikwambia piga kelele unapiga,nikisema nyamaza unakaa kimya
 
Kumbe na wewe huwaelewi? Nilishukuru alivyokatwa mmoja wao,maana sijui nilikuwa naonaje tu.

Inabidi yawepo mashindano ya ra tu, na kuimba tu ili tutofautishe vizuri maana mie rap hata sielewagi ndio nini kile.
 
Teh teh..Sasa we unashindana na mwanaume..Tv mi si ndo nimenunua iweje unipangie masharti kipi niangalie na kipi nisiangalie

Mweeeh! Kwahiyo nami nijiandae na masharti dubei maana unagharamia!!
 
Mweeeh! Kwahiyo nami nijiandae na masharti dubei maana unagharamia!!
Nope..Safari ile haina masharti..huyu mke anamsifia Kayumba mpaka mi naona wivu..Nimeamua kuwa mkoloni kidogo
 
Hatuigawi katikati wala nn..Ijumaa hatuangalii kwenye tv..Ntakupeleka kwenye show..Sema ndo utakuwa unashangilia kwa masharti yangu..Nikikwambia piga kelele unapiga,nikisema nyamaza unakaa kimya

Hahaaa..tusije kurudi kila mtu na njia yake bure.
 
Inabidi yawepo mashindano ya ra tu, na kuimba tu ili tutofautishe vizuri maana mie rap hata sielewagi ndio nini kile.

Kabisa. Sema kukiwa na utofauti panapendeza kiasi chake..

Umeanza kumpigia kura dogo Kayumba?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom