Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Kabisa. Sema kukiwa na utofauti panapendeza kiasi chake..

Umeanza kumpigia kura dogo Kayumba?.

Mie nilimpigiaga Walter tu na alikula hela yangu yule mtoto!! Alafu now anachezacheza tu na kipaji. Hawa sikuwa na mzuka nao kihiiivyo so nilikuwa sijahamasika kuwapigia kura.
 
We huangaliagi bss?
Naangaliaga ila jana nilipoangali ni kamkuta domo nikaondoa star tv linaramba ramba domo lake tu ilikuwa nikabadilisha chap ila finally kama kawaida
 
Frida alikuwa anajitahidi, hope she's still doing good
 
Naangaliaga ila jana nilipoangali ni kamkuta domo nikaondoa star tv linaramba ramba domo lake tu ilikuwa nikabadilisha chap ila finally kama kawaida

Daaaaaah!!! Yaani kweli ndomo ndio akufanye usiangalie bss!!
 
Ila wananikera make up zao hawa wadada wa BSS..
 
Naangaliaga ila jana nilipoangali ni kamkuta domo nikaondoa star tv linaramba ramba domo lake tu ilikuwa nikabadilisha chap ila finally kama kawaida

Pwilo katika ubora wake..
 
Aiseee, clouds ni alhamis na j.mosi ila muda ndio sina hakika nao, Heaven Sent na Kaboom hebu nisaidieni hapa
Clouds Najua marudio ni Alhamisi Saa 8 mchana na Jumamosi ni Saa 8 na nusu mchana. Star tv ni alhamisi Saa 9 na nusu.

C.c mito
afu kama ungeweza ungeangalia marudio katikati ya week coz ijumaa ndo fainali
 
Last edited by a moderator:
Angel ndie yule mwenye rasta nyekundu?
Angel ndo huyo mwenye suruali uploadfromtaptalk1444089323984.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom