Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
p funk zamani ilisemekana unatumia kilevi aina ya bangi sikuamini lakini kwa sasa naanza kuamini kwamba unatumia kilevi hicho..... kwanini unafanya hivyo lakini? sijakupenda hata kidogo mkubwa jirekebishe plz!!
kama ulifuatilia kipindi kwa umakini ilifikia mahali baadhi ya matusi aliyokuwa akiropoka yakawa 'yanafichwa' kwa manufaa ya watazamaji.hata tukisema abadilike, na kweli akabadilika, itakuwa ni baadae kwenye final kwa kuwa hivyo vioja tunavyovishuhudia vilijiri wakati wa preliminaries huko mikoani. kwahiyo tutegemee kuendelea kushuhudia maoni ya bangi. Na mimi kwa mtazamo wangu inaonekana jamaa bado anakula msuba, kwa mtu mwenye akili zake kamili hawezi kudhalilisha wadogo zetu kiasi kile, isipokuwa mwenye kutumia sigara kubwa!!!!!