Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Nasikia yule mwimba Taarab alichukulwia na Mzee Yusuf, ni kweli?
Mara ya BSS kwisha nilimuona katika matangazo kadhaa ya show za taarabu,lakini nina muda sijamuona wala kumsikia.Nafikiri ameona hakuna dili.