Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Narudia tena huu mkataba umefanyika kwa makubaliano kwamba sisi tunawapelekea gesi wao wanatuletea mafuta ukiangalia kimsingi wakenya wanarukaruka tu.
Ni kweli, lakini kwa nini anaendelea ku entertain maiigizo yao!!! Kwa nini hawambii enough is enough halafu akafunga chapter.