Bomba la Mafuta: Kenya wamkomalia Museveni

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,089
10,065
Kikao cha jana kampuni ya Total ilieleza sababu za kuhamishia mradi Tanzania ikiwemo, Tanzania gharama za fidia ziko chini ukilinganisha na Kenya, pili wakijenga Kenya itabidi pia wajenge bandari katika eneo la Lamu tofauti na Tanzania ambapo bandari ipo tayari. Mradi kwa Tanzania utaenda kasi ili ukamilike kabla ya 2018 ambapo Uganda itaanza kusafirisha mafuta yake.

Kenya wamejibu na kusema kuhusu fidia Kenya itashughulikia kwa hiyo hiyo sio sababu na ujenzi wa bandari wamesema Tayari kuna ujenzi wa bomba la kutoka Sudan ya kusini kwenda Lamu hivyo hilo sio tatizo kwani haitakuwa sehemu ya huo mradi. Kuhusu uharaka wa mradi wamesema wanao mradi wa ujenzi wa reli mpya unaoenda kwa kasi hivyo na huo utakuwa na kasi ileile.

Sasa sie tumejipangaje kupangua hoja za Kenya ili mradi uendelee kuwa Tanzania?
 
kama nchi lazima tuwe na kikosi kazi cha kushawishi uwekezaji mkubwa kama huu ambao unaonekana una manufaa makubwa sana,

Lakini pia waganda wawe na msimamo wasitugombanishe kibiashara,
kama mwanzo walienda kenya baadaye wakaona kenya hakufai wakaja kwetu kitu gani kinawarudisha kenya tena?

kama wameamua bomba lao wafanye kama mnada yupi atakubali lipite kwenye nchi yake kwa gharama nafuu nadhani tujipange kupangua hoja za waganda na tukubali kupunguza gharama kama zipo, kwa sasa ili kuwavutia waganda.

hata hivyo kenya inaonekana wanajua fitina za kibiashara.
 
Usitegemee sana sis kupangua hiyo hoja. Sanasana omba Mungu Uganda wabaki na msimamo au subiri maelezo ya ki prima donna, eti "hatukuwa na uwezo wa kuwabadili waganda kwa sababu hao ni nchi huru na hela no zao, tunaendelea kuamini kuwa tanzania ndiyo chaguo bora na tutashirikiana na nchi ingine yoyote itayotaka kufanya mrado kama huo"
 
Suala lote lipo mikononi mwa Museveni. Nadhani Uganda ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Kama mkwere angekuwa makini siku za nyuma, wala tusingefika hapa kuanza kugombania mradi huo na wakenya. Toka mwanzo, waganda waliona unafuu wa bandari ya Tanga lakini Tanzania ilikuwa haisomeki.

Magufuli kaonyesha msimamo thabiti na Museveni ameshawishika japo kulikuwa na mazungumzo ya awali na Kenya baada ya kuona Tanzania inavuta miguu chini ya JK.

Naamini Uganda wapo wana haraka ya kuanza kuuza mafuta yao na mradi wa Tanga ndiyo inaweza kuhakikisha hilo.
 
Tutawapa Mlima kilimanjaro, Mbona yule mwarabu tulimpa Loliondo na yule wa u.s.a tumempa uraniaum kule namtumbo au ka vp tutampa Ikulu kwi kwi kwi cc ndo majingaccm hahaa hatushindwi kitu hbana au we unaonaje watatoka apo?
 
Suala lote lipo mikononi mwa Museveni. Nadhani Uganda ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Kama mkwere angekuwa makini siku za nyuma, wala tusingefika hapa kuanza kugombania mradi huo na wakenya. Toka mwanzo, waganda waliona unafuu wa bandari ya Tanga lakini Tanzania ilikuwa haisomeki.

Magufuli kaonyesha msimamo thabiti na Museveni ameshawishika japo kulikuwa na mazungumzo ya awali na Kenya baada ya kuona Tanzania inavuta miguu chini ya JK.

Naamini Uganda wapo wana haraka ya kuanza kuuza mafuta yao na mradi wa Tanga ndiyo inaweza kuhakikisha hilo.

umeona unafuu wanaoutoa Nairobi lakini?

Fidia sio tena jukumu la mwekezaji bali ni jukumu la serikali ya Kenya

Kuhusu Bandari wanajenga wao wakenya kwa sababu wana bomba linguine from south sudan

Kwa Total this may be cheaper...

As you said Ni maamuzi sasa ya kina Museveni
 
Kenya wajue washapigwa bao nafahamu Museveni bado hajamalizia fidia ya vita vya kagera hapo ndio pa sisi kumbana total wameshasema wao wana pesa ya kujenga mradi wote Kenya wamecheza pata potea Museveni anahisi atakuwa salama zaidi akishirikiana na Tanzania kuliko Kenya angalia mgogoro wa kisiwa wanachogombea
 
Kikao cha jana kampuni ya Total ilieleza sababu za kuhamishia mradi Tanzania ikiwemo, Tanzania gharama za fidia ziko chini ukilinganisha na kenya, pili wakijenga kenya itabidi pia wajenge bandari katika eneo la lamu tofauti na Tanzania ambapo bandari ipo tayari. Mradi kwa Tanzania utaenda kasi ili ukamilike kabla ya 2018 ambapo uganda itaanza kusafirisha mafuta yake.

Kenya wamejibu na kusema kuhusu fidia kenya itashughulikia kwahiyo hiyo sio sababu na ujenzi wa bandari wamesema Tayari kuna ujenzi wa bomba la kutoka sudan ya kusini kwenda lamu hivyo hilo sio tatizo kwani haitakuwa sehemu ya huo mradi. Kuhusu uharaka wa mradi wamesema wanao mradi wa ujenzi wa reli mpya unaoenda kwa kasi hivyo nahuo utakuwa na kasi ileile.

Sasa sie tumejipangaje kupangua hoja za kenya ili mradi uendelee kuwa Tanzania?
Mkakati ulenge kwenye kuhakikisha mwekezaji anapunguziwa sana gharama za uwekezaji. Na kujengewa mazingira rafiki kuliko Kenya katika ujenzi huo. Ukijua adui yako Ana siraha gani Na amejificha wapi ni rahisi kupanga mbinu za kummaliza. We need to act strategically fast and get the project underway ASAP.
By the way vipi kuhusu mafuta yetu wenyewe? Si niliskia nasi tunayo mengi tu. Waganda wanakuja kasi watatupita hivihivi tunashangaashangaa. Tayari wanawekeza kwenye kiwanda cha magari pia. Sie tuna gesi Na mafuta pia lakini tunadhani bomba la mafuta ya Uganda ndio dili. Kama tunayo kwanini hatuwekezi huko?
 
kama wameamua bomba lao wafanye kama mnada yupi atakubali lipite kwenye nchi yake kwa gharama nafuu nadhani tujipange kupangua hoja za waganda na tukubali kupunguza gharama kama zipo, kwa sasa ili kuwavutia waganda.

Kenya wanawalaghai tu.Uanze kujenga leo bandari hadi ikamilike ikubalike kibiashara na meli zije ni leo?
Tanzania hakuna kubembeleza kama waganda hawataki wanataka kutushinikiza kupitia wakenya kuwa turudi kubembeleza kwa kushika gharama zingine kama hao matapeli wakenya wanavyosema tusikubali.

Hapa mganda anataka kujifanya kama mwanamke kahaba kujiuza huku na kule.Raisi wao kasema tulidhani anaaminika Museveni hivyo hatutegemei sarakasi.Kama wanataka lijengwe sawa hawataki hawa waganda TO HELL WITH THEM.Wasittuyumbishe na kutupotezea muda
 
Museveni naye hana msimamo, naona tena jana alikuwa Nairobi kwenye negotiations, hii issue sio dalili nzuri kwenye EAC!
 
Suala lote lipo mikononi mwa Museveni. Nadhani Uganda ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Kama mkwere angekuwa makini siku za nyuma, wala tusingefika hapa kuanza kugombania mradi huo na wakenya. Toka mwanzo, waganda waliona unafuu wa bandari ya Tanga lakini Tanzania ilikuwa haisomeki.

Magufuli kaonyesha msimamo thabiti na Museveni ameshawishika japo kulikuwa na mazungumzo ya awali na Kenya baada ya kuona Tanzania inavuta miguu chini ya JK.

Naamini Uganda wapo wana haraka ya kuanza kuuza mafuta yao na mradi wa Tanga ndiyo inaweza kuhakikisha hilo.

Hii attitude ndiyo inayotuangusha waTz. Hebu ona nilivyokutabiri kwenye post yangu hapo juu.

Kwani wakenya hawajui kuwa it is up to uganda?

Kwani kenya ni nchi isiyokuwa na ufisadi?

Tena nadhani wamethubutu kujaribu kutunyang'ang'anya hili tonge mdomoni wakijua tz imejaa watu wenye mawazo defeatist kama yako. (Ndiyo, u prima donna ni self defeating). Kwa kawaida wala wasingejaribu kuingilia dili ambali marais wawili wametoka nalo hadharani.
 
Back
Top Bottom