Bomba la Mafuta: Kenya wamkomalia Museveni

Bomba la Mafuta: Kenya wamkomalia Museveni

umeona unafuu wanaoutoa Nairobi lakini?

Fidia sio tena jukumu la mwekezaji bali ni jukumu la serikali ya Kenya

Kuhusu Bandari wanajenga wao wakenya kwa sababu wana bomba linguine from south sudan

Kwa Total this may be cheaper...

As you said Ni maamuzi sasa ya kina Museveni
Usiruhusu siasa zikakutia upofu....unakuwa mjinga,umeamua kufanya uchambuzi wa gharama kisiasa...unafikiri kujenga bandari inachukuwa muda gani?..umbali?...mengi ni propaganda,kuhusu gharama za mradi umeeleza kijuju "etu unafuu"
 
Kuna vitu viko wazi na hakuna taasisi inayotaka kufanya biashara kichaa ....Kenya wanapiga blah blah while Tanzania fursa zilizo tayari bila ya nyongeza ya gharama iko wazi. Kwenye hili Kenya watapoteza ingawa naona lobbying wanazopiga kwenye media (kama mmefatilia vyombo vyao vya habari) ili kuwapate pia huruma ya umma huko Uganda lakini naamini magenius wetu wanapigana kimya kimya ....
CC Kimweri
 
Hii attitude ndiyo inayotuangusha waTz. Hebu ona nilivyokutabiri kwenye post yangu hapo juu.

Kwani wakenya hawajui kuwa it is up to uganda?

Kwani kenya ni nchi isiyokuwa na ufisadi?

Tena nadhani wamethubutu kujaribu kutunyang'ang'anya hili tonge mdomoni wakijua tz imejaa watu wenye mawazo defeatist kama yako. (Ndiyo, u prima donna ni self defeating). Kwa kawaida wala wasingejaribu kuingilia dili ambali marais wawili wametoka nalo hadharani.
Huwezi kumzuia Museveni kuzungumza na Kenyatta!
 
Uganda haiwezi kuwa kigeugeu! Nafikiri nao wanatamani gesi yetu iende huku,
 
Usiruhusu siasa zikakutia upofu....unakuwa mjinga,umeamua kufanya uchambuzi wa gharama kisiasa...unafikiri kujenga bandari inachukuwa muda gani?..umbali?...mengi ni propaganda,kuhusu gharama za mradi umeeleza kijuju "etu unafuu"

chambua hoja sio mtoa hoja...pole
 
Suala lote lipo mikononi mwa Museveni. Nadhani Uganda ndiyo wenye uamuzi wa mwisho. Kama mkwere angekuwa makini siku za nyuma, wala tusingefika hapa kuanza kugombania mradi huo na wakenya. Toka mwanzo, waganda waliona unafuu wa bandari ya Tanga lakini Tanzania ilikuwa haisomeki.

Magufuli kaonyesha msimamo thabiti na Museveni ameshawishika japo kulikuwa na mazungumzo ya awali na Kenya baada ya kuona Tanzania inavuta miguu chini ya JK.

Naamini Uganda wapo wana haraka ya kuanza kuuza mafuta yao na mradi wa Tanga ndiyo inaweza kuhakikisha hilo.
Hatutakiwi kusubiri eti Uganda iamue or Museveni aseme, we have to act on it and immediately. Uwezo wa nchi katika michezo ya diplomasia ya kisasa 'Commercial diplomacy (CDC) na Business intelligence (BI)' hapo ndio nafasi yake. Ikibidi hata tuwatumie wafaransa ambao husifika sana kwenye haya madude hasa CDC! Hatutakiwi tusubiri na nina uhakika Serikali iko uwanjani!
 
Ap[unguziwe gharama kwa expense ya nani? Mlipa kodi wa Tanzania? NO,NO,NO,NO.Kama anaona biashara yake haitalipa aende kwingine
Kenya waliosema gharama za fidia zitakua juu yao unadhani watazitoa wapi hizo fedha? Wameamua kubeba gharama za fidia wao kwa kuwa mwekezeja kataja kuwa gharama za fidia ni ndogo Tanzania sasa Kenya wameona isiwe tabu fidia watabeba wao. Wanaangalia mategemeo ya faida mbele ya safari ni makubwa Na faida kubwa kwahiyo wanaona sio hatari sana kubeba gharama za fidia kama zitarudi maradufu. Ukimbuke ukitaka hela lazima utumie hela. Kuna Watu walinunua ploti za ardhi maeneo ya ajabu kumbe wamechingulia dili la minara ya simu anacheza Na jamaa wanajenga minara kwenye viwanja vyake Halafu Kila mwaka Kila kiwanja analipwa Mil tano.
Tumia hela uingize hela.
So Kenya wako Tayari ku nullify compensation costs kwa investor unadhani wao watazitoa wapi? Twaweza fanya hivyo hata kwa kodi zetu ili mradi kuwe upembuzi yakinifu unaoonyesha Kuna faida kubwa mbeleni.
Incentive nyingine ni kuwaondelea kodi kwenye vifaa watavoingiza kwa ajili ya ujenzi.
Kuondoa urasimu nk.
 
Fidia sio tena jukumu la mwekezaji bali ni jukumu la serikali ya Kenya

Tanzania hatuwezi kubali swala la fidia liwe jukumu la serikali ya Tanzania.Maana ya hili ni kuwa serikali ichukue kodi zake ikamlipie fidia mwekezaji!!!!!!!!!! Unaanza kumpa pesa mwekezaji kabla mwekezaji hajaifaidisha nchi yako hata kwa shilingi moja!!! Biashara kichaa hiyo.Mikataba mibovu kama hiyo hatuitaki
 
Tanzania hatuwezi kubali swala la fidia liwe jukumu la serikali ya Tanzania.Maana ya hili ni kuwa serikali ichukue kodi zake ikamlipie fidia mwekezaji!!!!!!!!!! Unaanza kumpa pesa mwekezaji kabla mwekezaji hajaifaidisha nchi yako hata kwa shilingi moja!!! Biashara kichaa hiyo.Mikataba mibovu kama hiyo hatuitaki

Hata hivyo TOTAL (Mwekezaji) hawajawaambia Mkubali swala la fidia liwe jukumu la serikali ya Tanzania
 
Ikibidi hata tuwatumie wafaransa ambao husifika sana kwenye haya madude hasa CDC! Hatutakiwi tusubiri na nina uhakika Serikali iko uwanjani!

Huo ni ufisadi mwingine IN THE MAKING.Atafutwe mfaransa alipwe mabilioni ya pesa kwa ajili ya consultancy ya mradi hewa wa bomba la mafuta ambao hata haujaanza.!!!! Total kampuni ya ufaransa kwa hiyo tutafute mfaransa mwingine ale pesa zetu kwa ajili ya maongezi na mfaransa mwenzie!!!!

Hatuongei kupitia ufaransa ng`o.MAONGEZI YETU NI MWISHO NA MUSEVENI kama hataki basi.Lakini hatuwezi ongea kupitia Paris mamilioni ya kilomita kwa ndege wakati tunaweza mtuma mtu wa mpakani kagera akaenda uganda kwa miguu kuongea na Museveni.
 
Wakenya bana kwanini wasiongee na mwekezaji
 
Kenya ina kitu kingine zaidi cha kumvutia Mseveni, nadhani Museven anaweza kuweka condition ya kubadilishana na Kisiwa cha Migingo katika ziwa Victoria na mradi wa mafuta. Kenya wakubali kugive up kile kisiwa ili wapewe huo mradi. Tanzania tutakuwa hatuna kitu kingine zaidi cha kufanya.
 
wakenya ni wezi na matapeli Mugabe anajua hilo..
 
kwa nini haiwezi.....?
Hilo swali lako siwezi kulijibu kwavile wote humu tunaongelea mada ambayo chanzo chake hatukijui! Ningekuwa Mshauri wa Mseveni au Magufuli ningeweza kukujibu kwa uhakika!
 
Kenya wanawalaghai tu.Uanze kujenga leo bandari hadi ikamilike ikubalike kibiashara na meli zije ni leo?
Tanzania hakuna kubembeleza kama waganda hawataki wanataka kutushinikiza kupitia wakenya kuwa turudi kubembeleza kwa kushika gharama zingine kama hao matapeli wakenya wanavyosema tusikubali.

Hapa mganda anataka kujifanya kama mwanamke kahaba kujiuza huku na kule.Raisi wao kasema tulidhani anaaminika Museveni hivyo hatutegemei sarakasi.Kama wanataka lijengwe sawa hawataki hawa waganda TO HELL WITH THEM.Wasittuyumbishe na kutupotezea muda
Hili jitu la ccm jinga kweli, ndio nini unashauri sasa. Punguani ni punguani tu
 
Back
Top Bottom