This is marvelous project which Tanzania need to acquire, hapa ndo tutajua picha halisi ya EAC, kiuhalisia Ugada-Tanga route ni option nzuri zaidi, kama uganda wanataka wauze wese lao 2018 basi Uganda -Tanga is the only option kwani bandari tayari ipo, na ni safe zaidi ukilinganishwa na hiyo bandari ya Lamu ambayo kwanza haijaanza kujengwa na ipo karibu sana na somalia ambayo ni risks kubwa kutoka kwa alishabaab. Lakini tuko kwenye dunia ya ushindani, na kenya wako serious na hii project kwa njia yeyote ile, kwa hiyo huu ni wakati muafaka wa Mh magufuri na muhongo kutumia ushawaishi wao kwa mseveni ili tuweze kupata hii project, wasije wakaa wakijidanga kuwa bandari ya tanga au route ta uganda to tz ni safe, mara ohh vita vya kagera , maa ohh tumesign MOU then tukae kimya bila kufuatilia tukisubiri mseveni atatoa cake hii direct kwa tz tutakuwa tunajidanganya. Ni lazima sasa kuanzia sasa tuanze kufuatilia the whole process ya mradi huu kabla ya mseven na uhuru hawjakutana tena uganda, tutume Muhongo aende UG akiwa na proposal nzuri ya route yetu akajaribu kumuweka sawa Mseven, ili asibadili mawazo, pia kama tukitaka kumpata mseveni tuangalie jinsi ya kumpa some kicksback, au tuangalie jinsi ya kufanya biashara na mseven, hata kwa kusema tanzania imetenga bandari ya tanga kuwa bandari maalumu ya wafanyabishara wa uganda, hata mizigo yote ya UG tunaangalia jinsi ya kuwapunguzia ushuru. At the same time, we have good relationship with China, tunaweza tukamtumia balozi wa china atusaidie kuwaconvice CNOOC just to stick with Tanzania-uganda route wanapofanya final evaluation, am sure tukiwa na backup ya CNOOC na Total itakuwa easy kuwatoa Tullow na kenya easily. Tusikubali just to give up so easily , i'm sure CNOOC wakipigwa mkwara na wanavyoheshimu mamlaka yao ya china na uhusiano wa Tz basi hii issue itakuwa easy sana, Kazi kwenu Magufuli na Muhongo.