Bomba la Mafuta: Kenya wamkomalia Museveni

Bomba la Mafuta: Kenya wamkomalia Museveni

Kikao cha jana kampuni ya Total ilieleza sababu za kuhamishia mradi Tanzania ikiwemo, Tanzania gharama za fidia ziko chini ukilinganisha na kenya, pili wakijenga kenya itabidi pia wajenge bandari katika eneo la lamu tofauti na Tanzania ambapo bandari ipo tayari. Mradi kwa Tanzania utaenda kasi ili ukamilike kabla ya 2018 ambapo uganda itaanza kusafirisha mafuta yake.

Kenya wamejibu na kusema kuhusu fidia kenya itashughulikia kwahiyo hiyo sio sababu na ujenzi wa bandari wamesema Tayari kuna ujenzi wa bomba la kutoka sudan ya kusini kwenda lamu hivyo hilo sio tatizo kwani haitakuwa sehemu ya huo mradi. Kuhusu uharaka wa mradi wamesema wanao mradi wa ujenzi wa reli mpya unaoenda kwa kasi hivyo nahuo utakuwa na kasi ileile.

Sasa sie tumejipangaje kupangua hoja za kenya ili mradi uendelee kuwa Tanzania?
Kenya waseme na kuapa kwamba hawatapigana tena na kuharibu biashara. Kenya is unstable! Bado ni nchi ya kupigana na mishale na mapanga.
 
Huo ni ufisadi mwingine IN THE MAKING.Atafutwe mfaransa alipwe mabilioni ya pesa kwa ajili ya consultancy ya mradi hewa wa bomba la mafuta ambao hata haujaanza.!!!! Total kampuni ya ufaransa kwa hiyo tutafute mfaransa mwingine ale pesa zetu kwa ajili ya maongezi na mfaransa mwenzie!!!!

Hatuongei kupitia ufaransa ng`o.MAONGEZI YETU NI MWISHO NA MUSEVENI kama hataki basi.Lakini hatuwezi ongea kupitia Paris mamilioni ya kilomita kwa ndege wakati tunaweza mtuma mtu wa mpakani kagera akaenda uganda kwa miguu kuongea na Museveni.
Yehodaya Ndugu yangu najuwa hisia yako kwa kutumia methali ya kiswahili kuwa aliyeumwa na nyoka akiona unyasi hushtuka!! Dunia ya sasa na hiyo uliyojifungia wewe ni tofauti! Kwenye swala la umahiri ni vizuri tukaupata kwa nje kama haupo hapa kwetu! Nilichokuwa nasema ni kuonyesha kuwa hiyo ni fursa kwa Tz na haitakiwi tuiache iende Kenya! Kwani consultancy ni kwenye kujenga tu au hata kupata huo ulaji? Ebu jitahidi kuwaza nje ya boksi maana inaonekana bado unaishi juzi! Hivi unafikiri hawa marais wa nchi kubwa wanavyopishana Dar na kuhakikisha marais wetu hawakosi kuhudhuria shughuli zao huko majuu ni kwa sababu wanaipenda sana Tz? Wanatafuta ulaji wa watu wao!!Sasa ridhiki inakuja mlangoni wewe unaonyesha jeuri eti huwezi kumbembeleza mwenye chake! Uko dunia gani ndugu yangu mbona nimeshindwa kukuelewa!!
 
Museveni anaonekana misimamo yake haiko thabiti hebu cheki hapa >>>>. Museveni suspends pipeline decision after meeting Uhuru
Kenya wanakiri wazi kuwa 2018 bomba halitakuwa tayari na bandari haitakuwa tayari wanatoa alternative ya kusomba kwa malori na treni jambo ambalo Total hawako tayari kwa madai itaongeza gharama za biashara. Tatizo liko kwa Tullow Oil ambao wameshagundua barrel 660m nchini Kenya hivyo kuna "long term advantage" kwa kuendelea kuwa na ushirika na Kenya. Kimsingi tunahaja ya kumshawishi uganda na total miradi hii yote iendelee kwa pamoja kwa kufanya cost sharing.
 
Magu tujenge TZ YETU kama unamaanisha kweli.
Imarisha bandari, reli, viwanda ondoa ukiritimba, rushwa.
Zambia, DRC, Rwanda, Burundi, Malawi na Nchumbiji zinatutosha.
Hawa matapeli wawili tuachane nao kabisaaa siku wakija kulia lia watajisaidia wenyewe
 
This is marvelous project which Tanzania need to acquire, hapa ndo tutajua picha halisi ya EAC, kiuhalisia Ugada-Tanga route ni option nzuri zaidi, kama uganda wanataka wauze wese lao 2018 basi Uganda -Tanga is the only option kwani bandari tayari ipo, na ni safe zaidi ukilinganishwa na hiyo bandari ya Lamu ambayo kwanza haijaanza kujengwa na ipo karibu sana na somalia ambayo ni risks kubwa kutoka kwa alishabaab. Lakini tuko kwenye dunia ya ushindani, na kenya wako serious na hii project kwa njia yeyote ile, kwa hiyo huu ni wakati muafaka wa Mh magufuri na muhongo kutumia ushawaishi wao kwa mseveni ili tuweze kupata hii project, wasije wakaa wakijidanga kuwa bandari ya tanga au route ta uganda to tz ni safe, mara ohh vita vya kagera , maa ohh tumesign MOU then tukae kimya bila kufuatilia tukisubiri mseveni atatoa cake hii direct kwa tz tutakuwa tunajidanganya. Ni lazima sasa kuanzia sasa tuanze kufuatilia the whole process ya mradi huu kabla ya mseven na uhuru hawjakutana tena uganda, tutume Muhongo aende UG akiwa na proposal nzuri ya route yetu akajaribu kumuweka sawa Mseven, ili asibadili mawazo, pia kama tukitaka kumpata mseveni tuangalie jinsi ya kumpa some kicksback, au tuangalie jinsi ya kufanya biashara na mseven, hata kwa kusema tanzania imetenga bandari ya tanga kuwa bandari maalumu ya wafanyabishara wa uganda, hata mizigo yote ya UG tunaangalia jinsi ya kuwapunguzia ushuru. At the same time, we have good relationship with China, tunaweza tukamtumia balozi wa china atusaidie kuwaconvice CNOOC just to stick with Tanzania-uganda route wanapofanya final evaluation, am sure tukiwa na backup ya CNOOC na Total itakuwa easy kuwatoa Tullow na kenya easily. Tusikubali just to give up so easily , i'm sure CNOOC wakipigwa mkwara na wanavyoheshimu mamlaka yao ya china na uhusiano wa Tz basi hii issue itakuwa easy sana, Kazi kwenu Magufuli na Muhongo.
 
Kikao cha jana kampuni ya Total ilieleza sababu za kuhamishia mradi Tanzania ikiwemo, Tanzania gharama za fidia ziko chini ukilinganisha na kenya, pili wakijenga kenya itabidi pia wajenge bandari katika eneo la lamu tofauti na Tanzania ambapo bandari ipo tayari. Mradi kwa Tanzania utaenda kasi ili ukamilike kabla ya 2018 ambapo uganda itaanza kusafirisha mafuta yake.

Kenya wamejibu na kusema kuhusu fidia kenya itashughulikia kwahiyo hiyo sio sababu na ujenzi wa bandari wamesema Tayari kuna ujenzi wa bomba la kutoka sudan ya kusini kwenda lamu hivyo hilo sio tatizo kwani haitakuwa sehemu ya huo mradi. Kuhusu uharaka wa mradi wamesema wanao mradi wa ujenzi wa reli mpya unaoenda kwa kasi hivyo nahuo utakuwa na kasi ileile.

Sasa sie tumejipangaje kupangua hoja za kenya ili mradi uendelee kuwa Tanzania?
Jana hii habari ilinishtua kidogo. Ngoja nisome maoni ya wenzangu nipate picha. Asante mkuu.
 
Apunguziwe gharama kwa expense ya nani? Mlipa kodi wa Tanzania? NO,NO,NO,NO.Kama anaona biashara yake haitalipa aende kwingine
Anataka the best deal? Nashindwa kumuelewa Museveni. Tusubiri kauli ya Magufuli.
 
At the same time, we have good relationship with China, tunaweza tukamtumia balozi wa china atusaidie kuwaconvice CNOOC just to stick with Tanzania-uganda route wanapofanya final evaluation, am sure tukiwa na backup ya CNOOC na Total itakuwa easy kuwatoa Tullow na kenya easily. Tusikubali just to give up so easily , i'm sure CNOOC wakipigwa mkwara na wanavyoheshimu mamlaka yao ya china na uhusiano wa Tz basi hii issue itakuwa easy sana
Kwa taarifa yako TOTAL ndio wenye pesa..na wamesema watagharamia wao..cha kufurahisha zaidi wao wameshaamua tayari..na wamemwambia Magufuli kazi inaanza mwezi wa nane mwaka huu.

''Tanzania is expected to commence the pipeline construction in august this year. A move that has prompted today’s crucial State House meeting.''


Kenyatta, Museveni in talks over proposed Uganda-Kenya pipeline
 
b
Kikao cha jana kampuni ya Total ilieleza sababu za kuhamishia mradi Tanzania ikiwemo, Tanzania gharama za fidia ziko chini ukilinganisha na kenya, pili wakijenga kenya itabidi pia wajenge bandari katika eneo la lamu tofauti na Tanzania ambapo bandari ipo tayari. Mradi kwa Tanzania utaenda kasi ili ukamilike kabla ya 2018 ambapo uganda itaanza kusafirisha mafuta yake.

Kenya wamejibu na kusema kuhusu fidia kenya itashughulikia kwahiyo hiyo sio sababu na ujenzi wa bandari wamesema Tayari kuna ujenzi wa bomba la kutoka sudan ya kusini kwenda lamu hivyo hilo sio tatizo kwani haitakuwa sehemu ya huo mradi. Kuhusu uharaka wa mradi wamesema wanao mradi wa ujenzi wa reli mpya unaoenda kwa kasi hivyo nahuo utakuwa na kasi ileile.

Sasa sie tumejipangaje kupangua hoja za kenya ili mradi uendelee kuwa Tanzania?
baadaye tutakuja kujumuisha tulichofanya na tulichopata
 
Kwa taarifa yako TOTAL ndio wenye pesa..na wamesema watagharamia wao..cha kufurahisha zaidi wao wameshaamua tayari..na wamemwambia Magufuli kazi inaanza mwezi wa nane mwaka huu.
Naungana na Wo shi niubi, hata kama total wanapesa hakuna haja ya kubweteka maana mafuta ni ya Uganda. Museveni kaenda kufanya nini Kenya Kama issue ni ya total na uamuzi wao ni wa mwisho. Commercial diplomacy lazima ifanye kazi yake ikibidi hata kubadili balozi basi Mheshimiwa afanye hivyo. Madharau na ujuaji vimetugharimu sana katika fursa za biashara anapokuwapo kenya. Tusilifanyie mzaha hili jambo na kutoa majibu rahisi hivi. Mpaka ujenzi uanze ndio tujue tumeshinda! Hapa kazi tu na kazi ndio hii!
 
Kwa taarifa yako TOTAL ndio wenye pesa..na wamesema watagharamia wao..cha kufurahisha zaidi wao wameshaamua tayari..na wamemwambia Magufuli kazi inaanza mwezi wa nane mwaka huu.
Kumbuka kisima ni cha Tullow Oil, Total nayeye ni mtu wa kati, tayari tullow keshapata mapipa 660m ya mafuta kenya na Tanzania hana hata kitalu cha utafiti, akiambiwa chagua mafuta au bandari ya Tanga obvious atachagua mafuta. Pili, kama akina Muhongo walimfanyia mtimanyongo Tullow Oil nae ndo atatushika pabaya.
 
Kumbuka kisima ni cha Tullow Oil, Total nayeye ni mtu wa kati, tayari tullow keshapata mapipa 660m ya mafuta kenya na Tanzania hana hata kitalu cha utafiti, akiambiwa chagua mafuta au bandari ya Tanga obvious atachagua mafuta. Pili, kama akina Muhongo walimfanyia mtimanyongo Tullow Oil nae ndo atatushika pabaya.
Nakupa link hii ..soma vizuri kile kilichojiri Kenya.

Uhuru, Museveni in tough oil talks
 
Nakupa link hii ..soma vizuri kile kilichojiri Kenya.

Uhuru, Museveni in tough oil talks
Jamii-ASM, there is all indications that Tz has to play its part as the issue is not yet clear. In case Uganda is convinced of the Kenyan solution we stand to loose! Kenya's option is the cheapest once implemented, from my understanding of the article! Bado kazi ipo pamoja na kwamba we seem to be winning! Haiingii akilini to wait and see instead of consolidating our winning position! Lazima tuendelee kufukuzia maana najua wakenya can exploit our weakness in negotiation. Hii kitu iundiwe kikosi kazi to deal with Kenya's aggressiveness! Tusilale na kubweteka eti tumeshapata.
 
Tullow, Total SA and CNOOC have equal stakes of 33.3% interest in the Lake Albert Exploration Areas 1, 1A-Lyec, 2 and 3-Kingfisher. According to the decision of the Government of Uganda, Total E&P Uganda became the operator of Block 1, Tullow the operator of Block 2 and CNOOC operator of the Block 3A. Together, the partners have concluded all the exploration activities and will soon move into the Development phase of Uganda’s oil resources. Hivyo all 3 companies play the great role in construction of pipeline, lakini ukiangalia Tullow backs kenya, ingawa Total & Cnooc, wanataka route ya uganda to tz, lakini all in all we need to compete to strike the deal, hii dili so nyepesi kama tunavyofikiria inabidi tufuatilie kwa karibu sana kama nilivyosema hapo juu.
 
Hii kitu iundiwe kikosi kazi to deal with Kenya's aggressiveness! Tusilale na kubweteka eti tumeshapata.
Nakubaliana na wewe..tatizo ni hili..Uganda is a landlocked country. and it is held hostage by Kenya..90% of its imports pass through Mombasa.
Hapa Kenya lazima wataaanza kuleta mizengwe na vikwazo ... hizi zinaitwa NTBs-non tarrif barriers. Itakapofikia hapo Tanzania itakuwa haina ujanja.
 
lakini ukiangalia Tullow backs kenya
Sio kweli...Tullow nao wana wasiwasi
'' Sources within the Energy sector said that Tullow Oil plc and China National Offshore Oil Company (CNOOC) had carried out research, whose findings warned Uganda against going ahead with its plan to construct the Northern Pipeline from Hoima through Lokichar to the Lamu Port.''

Uhuru, Museveni in tough oil talks
 
Back
Top Bottom