imali
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 473
- 432
Yaani wewe huoni ugaidi unaofanywa na nchi za magharibi? Hao waliopo kwenye migodi yetu hapa nchini ni waarabu. Waliowaua wacongo milioni 10 mauaji ambayo hayazungumzwi wala hayakuwekwa kwenye historia ni waarabu. Aliewaua wayahudi milioni 6 ni waarabu. Aliewaua wairaqi milioni 1.5 kwa mabomu ni waarabu. Yaani tukihesabu ugaidi uliofanywa na mataifa ya magharibi hatumalizi na leo. Lakini hamuwaoni. Na hao magaidi kuonyesha kuwa si waislamu ni kuwa watu waliouliwa na wao 99.9% ni waislamu wenzao. Cha ajabu alshabab wakifika kenya eti wanaua wakristo lakini wakiwa somalia wanawaua waislamu. Kea sababu mnapenda na mumepata sababu ya kuupaka matope uislamu endeleeni na uislamu hautayumbaKama ugaidi waislamu na wakristo wote ni watuhumiwa tutakuwa bega kwa bega kuupinga lakini ikiwa waislamu ndiyo watuhumiwa ktk hiyo kashfa basi sisi webgine tutakuwa nyuma yenu tukiona mnapinga hadharani kuwa hamhusiki.
Tuwe mbele wakati njia hatuijui.