Tangu NATO kujiingiza kuisaidia Ukraine Alshabaab, Alqaida na Boko haramu wamepotea

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,195
10,929
Takriban kwa miaka 23 iliyopita haikupita siku usisikie habari za kusisimua kuhusu mashambulizi ya Alqaida ,Boko haramu.Makundi hayo kila siku yalizalishwa vitoto vyao kuanzia Alshabaab kuteremka chini mpaka ISIS na vijukuu kama viel Saheli ni West Afrika.

Mitandao hiyo ilionekana kila siku kutanuka mpaka ikafikia maeneo Msumbiji na mashamba ya Kilombero nchini Tanzania.

Vinchi vidogo vidogo vilivyo wajumbe wa NATO kama vile Ureno navyo vilionekana kujishughulisha au kushughulika na vikundi hivyo kwani waliingia kati eti kulifunza jeshi la Msumbiji kupambana na Alshabaab.

Nigeria ikiwa ni nchi kubwa yenye kuheshimika kwa Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu kwa kila kilomita mraba moja ilishindwa kupambana na wanamgambo wa Bokoharamu ambao walitajwa kuteka watu na kujificha nao kwenye vichaka jirani na makazi ya watu.Kumbuka Nigeria ni nchi iliyo mpakani na Jangwa la sahara na halina misitu kama Tanzania.

Miaka karibu miwili tangu Urusi ianze kupigana na Ukraine na ambapo nchi nyingi za Ulaya na umoja wa NATO wameonekana kuiunga mkono Ukraine,mashambulizi ya makundi hayo yote yamekuwa hayasikiki sana.

Hata Nigeria imerudi tena kuwa nchi yenye amani kiasi.

Kwa upande wa Msumbiji wamerudi kutumia bandari zao zilizokuwa zimetekwa na Alshabaab
 
Upo sahihi kbs hata Drc Kuna mchezo mchafu unafanyika kwa kufadhili vikundi vya waasi hata Monusco wanatumika sn ndio maana nchi km Tanzania wanakuwa km mbuz wa kafara.kwasisi tuliyozunguka maziwa makuu tunafahamu sn.Uk,USA,France, Belgium n.k watu wabaya sn ila tukiwapinga tunaambiwa maustadhi na huku wengine sisi ni wakristo.bure kbs
 
Takriban kwa miaka 23 iliyopita haikupita siku usisikie habari za kusisimua kuhusu mashambulizi ya Alqaida ,Boko haramu.Makundi hayo kila siku yalizalishwa vitoto vyao kuanzia Alshabaab kuteremka chini mpaka ISIS na vijukuu kama viel Saheli ni West Afrika.

Mitandao hiyo ilionekana kila siku kutanuka mpaka ikafikia maeneo Msumbiji na mashamba ya Kilombero nchini Tanzania.

Vinchi vidogo vidogo vilivyo wajumbe wa NATO kama vile Ureno navyo vilionekana kujishughulisha au kushughulika na vikundi hivyo kwani waliingia kati eti kulifunza jeshi la Ureno kupambana na Alqaida.

Nigeria ikiwa ni nchi kubwa yenye kuheshimika kwa Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu kwa kila kilomita mraba moja ilishindwa kupambana na wanamgambo wa Bokoharamu ambao walitajwa kuteka watu na kujificha nao kwenye vichaka jirani na makazi ya watu.Kumbuka Nigeria ni nchi iliyo mpakani na Jangwa la sahara na halina misitu kama Tanzania.

Miaka karibu miwili tangu Urusi ianze kupigana na Ukraine na ambapo nchi nyingi za Ulaya na umoja wa NATO wameonekana kuiunga mkono Ukraine,mashambulizi ya makundi hayo yote yamekuwa hayasikiki sana.

Hata Nigeria imerudi tena kuwa nchi yenye amani kiasi.

Kwa upande wa Msumbiji wamerudi kutumia bandari zao zilizokuwa zimetekwa na Alshabaab
kiufupi nato ndo wafadhili wa magaidi,,, sahivi wanawekwa bize ukraine vikosi vinakua vichache kwenda kupiga kwingine
 
Vilikuwa ni vikundi vya kijeshi vya westerners. Wengi wao wamepelekwa ukrein kupigana na Mrusi.
Wengi saana wameuwawa.

Matokeo ya vita ya Urusi na Ukrein
(1: Korona kwisha
(2: Ugaidi kwisha
(3: Agenda za ushoga zimepungua kwa kasi ya ajabu
Hawa watu wametugeuza km midoli wanatuchezea wanavyotaka.
 
Takriban kwa miaka 23 iliyopita haikupita siku usisikie habari za kusisimua kuhusu mashambulizi ya Alqaida ,Boko haramu.Makundi hayo kila siku yalizalishwa vitoto vyao kuanzia Alshabaab kuteremka chini mpaka ISIS na vijukuu kama viel Saheli ni West Afrika.

Mitandao hiyo ilionekana kila siku kutanuka mpaka ikafikia maeneo Msumbiji na mashamba ya Kilombero nchini Tanzania.

Vinchi vidogo vidogo vilivyo wajumbe wa NATO kama vile Ureno navyo vilionekana kujishughulisha au kushughulika na vikundi hivyo kwani waliingia kati eti kulifunza jeshi la Ureno kupambana na Alqaida.

Nigeria ikiwa ni nchi kubwa yenye kuheshimika kwa Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu kwa kila kilomita mraba moja ilishindwa kupambana na wanamgambo wa Bokoharamu ambao walitajwa kuteka watu na kujificha nao kwenye vichaka jirani na makazi ya watu.Kumbuka Nigeria ni nchi iliyo mpakani na Jangwa la sahara na halina misitu kama Tanzania.

Miaka karibu miwili tangu Urusi ianze kupigana na Ukraine na ambapo nchi nyingi za Ulaya na umoja wa NATO wameonekana kuiunga mkono Ukraine,mashambulizi ya makundi hayo yote yamekuwa hayasikiki sana.

Hata Nigeria imerudi tena kuwa nchi yenye amani kiasi.

Kwa upande wa Msumbiji wamerudi kutumia bandari zao zilizokuwa zimetekwa na Alshabaab
Hili nalo wakalitizame
 
Moja ya kanuni ya habari ni kuwa habari kubwa huiminya habari ndogo

Mf Ikianza vita kati ya USA na China,vita Urusi na Ukraine haitaripotiwa sana.
Mleta uzi ni kilaza, hilo ni jambo gumu sna kwake kulielewa.
Yeye kwa sababu amejikita na masuala ya Urusi, Putin na Wagner tu anafikiri ugaidi umeisha duniani.
 
Sio kweli

Hayo makundi ya kigaidi yameendelea kufanya ugaidi ila kutokana na vita ya Ukraine kushika head line imekuwa ni nadra matukio yao kwenda viral.

Haya ni matukio recently ya kigaidi yaliyofanywa na Al Qaeda

Na mengine hata masaa 24 hayajamaliza tangu yaripotiwe.
Screenshot_20230817-105946.png


Hizi news za Al Shabaab ambazo zimetoka kuripotiwa masaa machache yaliyopita

Screenshot_20230817-105925.png


Hili ni kundi lingine la ISIS siku 6 zilizopita tu limeua wanajeshi 23



Screenshot_20230817-105836.png


Captain fantastic siku 3 zilizopita wameripotiwa kuua watu 13.
Screenshot_20230817-105806.png
 
Back
Top Bottom