Body language na facial expression zinaeleza wazi kwamba Lissu amekata tamaa, licha ya kujaribu kulazimisha furaha na ujasiri ambao ni wazi hana

Body language na facial expression zinaeleza wazi kwamba Lissu amekata tamaa, licha ya kujaribu kulazimisha furaha na ujasiri ambao ni wazi hana

nakubaliana na wewe 100% kwamba he is a human being after all,

but ukimfuatilia na kumtazama kwa makini, kibaraka hua anajina is a saint above Jesus. na hicho ndicho kinachomgharimu hivi sasa, angalau ameanza kuonyesha sura na tabia za kibinadamu tena muovu :NoGodNo:
You're in despair man, work on you first.
 
You're in despair man, work on you first.
nadhani majuto yamemchosha kisaikolojia,
na body language yake inadhihirisha uchofu huo wenye kila ishara ya kukata tamaa. kibaraka analazimisha smile kavu kinoma dhidi ya wafuasi wake :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom