Body language na facial expression zinaeleza wazi kwamba Lissu amekata tamaa, licha ya kujaribu kulazimisha furaha na ujasiri ambao ni wazi hana

Body language na facial expression zinaeleza wazi kwamba Lissu amekata tamaa, licha ya kujaribu kulazimisha furaha na ujasiri ambao ni wazi hana

Chawa katika ubora wake.
Tundu Lissu ameshikilia roho za watanzania kwani hakuna ufadhilii utakaotolewa akiwa ndani miongoni mwa masharti mengine.
 
"Wewe huwezi kushirikiana na mahakimu dhalimu, wanaotunga kanuni za kutetea maovu.

Wao wanaafikiana kuwaangamiza waadilifu, na kuwahukumu watu wasio na hatia wauawe.

Lakini Mwenyezi-Mungu ni ngome yangu; Mungu wangu ni mwamba wa usalama wangu.

Uovu wao atawarudishia wao wenyewe, atawafutilia mbali kwa sababu ya ubaya wao. Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, atawafutilia mbali!

Zaburi.94.20-23.BHN
 
Bimkubwa baada ya 29 Oktoba, shavu linazidi kushuka tuu! Juzi pale Arusha anajificha ficha tuu na ameshinda kwa 99%. 😁

Hana amani, wanazidi kumuongezea makomandoo kumlinda. Mtu wa "makeup" aongezewe mshahara wazee. Amekuwa mbibi miezi michache tuu.
 
KInachowasumbua ni kutaka kumuona Lissu akilia mahakamani pengine amuombe rais wayamalize.

Anawaharibu kisaikolojia na mnazidi kuchukia..

Mtu akikufanyia ubaya ili ukasirike na kukuharibia mood halafu wewe ukacheka na kutoa tabasamu, anayeumia ni yule anayekufanyia ubaya...

Lissu alikataa kununuliwa, Abdul alimfuata amhonge mapesa, jamaa akakataa... hiko ni chuma..
ila kiukweli muungwana kachoka halafu kama vile anapitia changamoto ya afya ya akili,
anatia huruma na kwakweli amekata tamaa kabisa,

anajutia uropokaji unaoelekea kumtia hatiani na kumalizia maisha yake korokoroni.
ama kwa hakika majuto ni mjukuu:NoGodNo:
 
Bimkubwa baada ya 29 Oktoba, shavu linazidi kushuka tuu! Juzi pale Arusha anajificha ficha tuu na ameshinda kwa 99%. 😁

Hana amani, wanazidi kumuongezea makomandoo kumlinda. Mtu wa "makeup" aongezewe mshahara wazee. Amekuwa mbibi miezi michache tuu.
jikite kwenye hoja gentleman,
hakuna haja ya kuweweseka au kumbwelambwela na mambo yasiyohusu hoja ya msingi mezan

ikiwa uko pontless unapiga kimya tu i:NoGodNo:
 
"Wewe huwezi kushirikiana na mahakimu dhalimu, wanaotunga kanuni za kutetea maovu.

Wao wanaafikiana kuwaangamiza waadilifu, na kuwahukumu watu wasio na hatia wauawe.

Lakini Mwenyezi-Mungu ni ngome yangu; Mungu wangu ni mwamba wa usalama wangu.

Uovu wao atawarudishia wao wenyewe, atawafutilia mbali kwa sababu ya ubaya wao. Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, atawafutilia mbali!

Zaburi.94.20-23.BHN
Zaburi.23:1 yatosha gentleman:NoGodNo:
 
Inasikitisha sana kumuona amechoka phisically na kwakweli mentally ni kama yupo confused.
Mbaya zaidi, mamluki na wafuasi wake ndio wanaonyesha kuchoka na kukata tamaa zaidi, licha ya kuhamasishwa kwa vitendo na mtuhumiwa wa uhaini mwenyewe eti waonyeshe furaha na ujasiri ambao wote hawana na haijulikani wanamuonyesha nani licha ya kupuuzwa tangu aanze drama mahakamani.

Majuto ni mjukuu, muhaini anajutia uropokaji wake unaokiuka sheria za nchi ambao ni wazi unakwenda kumtia hatiani pasina shaka yoyote.

Sheria ni msumeno,
Ishara zote za kisheria ziko wazi kwamba kuna kibaraka anakwenda kushikishwa adabu kisheria kwa kutiwa hatiani na kupewa haki ya hukumu anayostahili kulingana na makosa yake katika muda usiokua mrefu ujao.

Itakua ni fundisho muhimu sana kwa raia wenye tabia za kubebwa ufala wa kifikra kirahisi tu na kufanywa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa lengo la kupindua serikali na kuharibu nchi kwa maslahi ya hao mabwenyenye. Tabia hiyo mbaya zaidi na isiyo ya kizalendo nchini, inakwenda kufika mwisho, kuzikwa na kukomeshwa kabisa Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Mahakama huru na ya haki ya Tanzania.

PUMBAVU kabisa PAKA WA LUMBUMBA.

Kwa huu UHUNI unataka awe na furaha.
 
Chawa katika ubora wake.
Tundu Lissu ameshikilia roho za watanzania kwani hakuna ufadhilii utakaotolewa akiwa ndani miongoni mwa masharti mengine.
Gentleman,
huenda huyo kibaraka ameshikilia roho za mamaluki malofa kama wewe na mabwenyenye ya magharibi yanayomfadhili:TRUMP:
 
Inasikitisha sana kumuona amechoka phisically na kwakweli mentally ni kama yupo confused.
Mbaya zaidi, mamluki na wafuasi wake ndio wanaonyesha kuchoka na kukata tamaa zaidi, licha ya kuhamasishwa kwa vitendo na mtuhumiwa wa uhaini mwenyewe eti waonyeshe furaha na ujasiri ambao wote hawana na haijulikani wanamuonyesha nani licha ya kupuuzwa tangu aanze drama mahakamani.

Majuto ni mjukuu, muhaini anajutia uropokaji wake unaokiuka sheria za nchi ambao ni wazi unakwenda kumtia hatiani pasina shaka yoyote.

Sheria ni msumeno,
Ishara zote za kisheria ziko wazi kwamba kuna kibaraka anakwenda kushikishwa adabu kisheria kwa kutiwa hatiani na kupewa haki ya hukumu anayostahili kulingana na makosa yake katika muda usiokua mrefu ujao.

Itakua ni fundisho muhimu sana kwa raia wenye tabia za kubebwa ufala wa kifikra kirahisi tu na kufanywa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa lengo la kupindua serikali na kuharibu nchi kwa maslahi ya hao mabwenyenye. Tabia hiyo mbaya zaidi na isiyo ya kizalendo nchini, inakwenda kufika mwisho, kuzikwa na kukomeshwa kabisa Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Mahakama huru na ya haki ya Tanzania.
jamaa anateseka halafu unakuja kumbwelambwena na porojo na ujasiri wa kilofa namna hiyo gentleman?
kama mamaluki wake, humuonei huruma huyo kibaraka ?:NoGodNo:
Njoo tunywe waini mioyo yetu imefurahi japo tuna njaa.
 
ila kiukweli muungwana kachoka halafu kama vile anapitia changamoto ya afya ya akili,
anatia huruma na kwakweli amekata tamaa kabisa,

anajutia uropokaji unaoelekea kumtia hatiani na kumalizia maisha yake korokoroni.
ama kwa hakika majuto ni mjukuu:NoGodNo:
Huyo alishapigwa risasi zikaingia mwilini mwake, alishachungulia mauti na kurudi, leo hii uje umtishie gereza?

Mnazidi kumpa umaarufu na kumtengenezea historia...
 
wajibu wangu ni kubainisha ukweli kwenye mambo ya msingi tu gentleman,
huna haja ya kunikasirikia my friend :NoGodNo:

Lissu kaanza harakati za utumishi wa umma wakati hujazaliwa na wala hajaja duniani kutengeneza mbolea ya samadi kijana kama wewe, na hawezi kukatishwa tamaa na vimama vizee ndio kwanza mwendo mdundo yani! Acha tafsiri za kichawi kwa watu wenye cause zao chawa
 
Ila japo anakesi ya jinai tukumbuke jamaa ni mgonjwa na kesi inauwalakini. Wamwache Nchi ichangamke. Sijui ni kwann nimeanza kumuonea huruma.
 
Yah right ...Kibaraka!! Wazalendo wako busy wanazunguka dunia kwa Mabeberu kuomba po.
Mkuu hili suala la hawa jamaa kuzunguka duniani hivi sasa kutafuta suluhu kwa waliyoyafanya wanaweza kukubaliwa na mabeberu?

Maana kuna juhudi kubwa sana kwa hii serikali kujisafisha baada ya uvunjaji wa sheria na haki za kibinadamu...
 
Inasikitisha sana kumuona amechoka phisically na kwakweli mentally ni kama yupo confused.
Mbaya zaidi, mamluki na wafuasi wake ndio wanaonyesha kuchoka na kukata tamaa zaidi, licha ya kuhamasishwa kwa vitendo na mtuhumiwa wa uhaini mwenyewe eti waonyeshe furaha na ujasiri ambao wote hawana na haijulikani wanamuonyesha nani licha ya kupuuzwa tangu aanze drama mahakamani.

Majuto ni mjukuu, muhaini anajutia uropokaji wake unaokiuka sheria za nchi ambao ni wazi unakwenda kumtia hatiani pasina shaka yoyote.

Sheria ni msumeno,
Ishara zote za kisheria ziko wazi kwamba kuna kibaraka anakwenda kushikishwa adabu kisheria kwa kutiwa hatiani na kupewa haki ya hukumu anayostahili kulingana na makosa yake katika muda usiokua mrefu ujao.

Itakua ni fundisho muhimu sana kwa raia wenye tabia za kubebwa ufala wa kifikra kirahisi tu na kufanywa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa lengo la kupindua serikali na kuharibu nchi kwa maslahi ya hao mabwenyenye. Tabia hiyo mbaya zaidi na isiyo ya kizalendo nchini, inakwenda kufika mwisho, kuzikwa na kukomeshwa kabisa Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Ibariki Mahakama huru na ya haki ya Tanzania.
Huyu ndiye punguani Tlaatlah, mtu wa Blaablah. Mtu mwenye matatizo makubwa kichwani, lakini asiyejitambua!!
 
Huyu ndiye punguani Tlaatlah, mtu wa Blaablah. Mtu mwenye matatizo makubwa kichwani, lakini asiyejitambua!!
calm dawn mamaluki lofa wa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.

jifunze kupokea ukweli bila mihemko :TRUMP:
 
Back
Top Bottom