UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!.
Pesa za kuhonga huwa zinapatikana ila za kulipa Kodi mnaanza kuleta singeli za kipumbavu!.
Huwa mkisikia kulipa mapato(stahiki ya serikali) mnaanza ngonjera kibao kana kwamba ni dhambi kulipa mapato. Kama unafanya kazi kila siku na unapata faida kwanini usilipe kodi?
Huwa mnakenua meno mkiona Machinga na wafanyabiashara wengine wakibanwa kuhusu Kodi, mlidhani nyie ni spesho sana hampaswi kulipa kodi?
Mtake msitake kodi mtalipa na kama huwezi acha kuingia barabarani hupaki chombo chako,lakini kama unaingia barabarani kodi ni lazima ulipe.
Nikiwa kama muendesha Bodaboda nasema kwa Msisitizo ya kwamba "SERIKALI ILICHELEWA SANA"
UKITENGA BAJETI YA KUHONGA HAKIKISHA UMETENGA KODI YA SERIKALI
Ni hayo tu.
Pesa za kuhonga huwa zinapatikana ila za kulipa Kodi mnaanza kuleta singeli za kipumbavu!.
Huwa mkisikia kulipa mapato(stahiki ya serikali) mnaanza ngonjera kibao kana kwamba ni dhambi kulipa mapato. Kama unafanya kazi kila siku na unapata faida kwanini usilipe kodi?
Huwa mnakenua meno mkiona Machinga na wafanyabiashara wengine wakibanwa kuhusu Kodi, mlidhani nyie ni spesho sana hampaswi kulipa kodi?
Mtake msitake kodi mtalipa na kama huwezi acha kuingia barabarani hupaki chombo chako,lakini kama unaingia barabarani kodi ni lazima ulipe.
Nikiwa kama muendesha Bodaboda nasema kwa Msisitizo ya kwamba "SERIKALI ILICHELEWA SANA"
UKITENGA BAJETI YA KUHONGA HAKIKISHA UMETENGA KODI YA SERIKALI
Ni hayo tu.