Kamishna wa TRA aliyetoa tangazo la kodi ya Bodaboda alikuwa hajui au alifanya kwa makusudi?

Nkerejiwa

Senior Member
Feb 25, 2014
146
214
Kuna mambo yanafikirisha sana, unaweza kutumia siku nzima kuwaza lakini kamwe usipate jibu hata. Fikiria, mtumishi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25, anatoka hadharani kutangaza kodi mpya kwa bodaboda na bajaji, kodi ambazo kwenye bajeti ya serikali ya Wizara ya Fedha 2023/24 haipo kwenye kurasa zote 277 za bajeti iliyosomwa na Mh Mwigulu Nchemba mwezi Juni 2023.

Ikiwa mtumishi mwenye uzoefu mkubwa kama huyo anafanya uzembe wa kiwango hicho, tutumie maneno gani sahahi kuonesha kwamba hii sio hujuma? Haya tuulizane ndugu zangu, ni lini jambo kama hili liliwahi kutokea hapo awali? Yani mtu atoke tu huko alipotoka, aite waandishi wa habari na kutanganza kodi mpya tena kwa kundi tata kwelikweli jamii, bodaboda na bajaji.

Kwanini hata kama ulitangaza kodi hizo isiwe kwenye madini, sigara, vinywaji au bidhaa za kilimo, bali bodaboda na bajaji? Bila shaka mtu huyu anajua fika kwamba alichokifanya kingeleta taharuki kubwa sana kwenye jamii kulingana na kundi alilolienga, na hii ingemchafua Mh Waziri, Mwigulu Nchemba, mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia mapato na fedha za nchi hii.

Iko wazi, kwamba katika Wizara ambayo haina makandokando hata chembe, ni Wizara ya Fedha, Mama mwenyewe analijua hilo na alishawahi kutamka kwenye moja ya hotuba zake Ikulu. Hii haiwezi kuwa habari njema sana kwa watu wasiompenda Madelu, kama utakumbuka, juzi tu limetoka la uchache wa dola nchini, likadhibitiwa vikali sana kwa nguvu zote, leo mtu anatangaza kodi mpya ambayo haipo kwenye bajeti, yaani makosa yaleyale kwenye wizara ileile. Hapana, sio bure.

TRA imefanya vizuri sana kukanusha taarifa hii kwa umma. Na yule mtu lazima awekwe chini na aeleze ni kitu gani kilimsukuma kufanya kitendo cha kizembe kama kile? Kitengo kile matokeo yake ni sawa na wanachofanya watu wanaochochea machafuko kupitia maandamo nchi kwa maana, kama umetangaza kodi mpya kwa kudi la bodaboda na bajaji ambao zaidi ya 90% ni vijana na katika wakati ambao gharama za maisha zimepanda kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, unategemea kitu gani?

Naipongeza sana TRA, maana tangazo lile la kizembe kama lingelala basi pengine tungeamka vibaya kesho.

Pia soma:
 
hiyo TRA unayopongeza mbona sijaona sehemu yeyote wamekanusha kwamba hiyo kodi haipo bali wamesema taarifa siyo rasimi, elewa neno "taarifa siyo rasimi" au tafuta mtu akupe tafasiri yake sahihi...
hiyo kodi ipo ila taarifa rasimi itatolewa muda sahihi ukifika, na siamini kuwa una uzoefu zaidi ya aliyetoa taarifa zaidi ya propaganda za kiserikali tu, subiri kodi inakuja kwa taarifa rasimi
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, unaweza kutumia siku nzima kuwaza lakini kamwe usipate jibu hata. Fikiria, mtumishi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25, anatoka hadharani kutangaza kodi mpya kwa bodaboda na bajaji, kodi ambazo kwenye bajeti ya serikali ya Wizara ya Fedha 2023/24 haipo kwenye kurasa zote 277 za bajeti iliyosomwa na Mh Mwigulu Nchemba mwezi Juni 2023.

Ikiwa mtumishi mwenye uzoefu mkubwa kama huyo anafanya uzembe wa kiwango hicho, tutumie maneno gani sahahi kuonesha kwamba hii sio hujuma? Haya tuulizane ndugu zangu, ni lini jambo kama hili liliwahi kutokea hapo awali? Yani mtu atoke tu huko alipotoka, aite waandishi wa habari na kutanganza kodi mpya tena kwa kundi tata kwelikweli jamii, bodaboda na bajaji.

Kwanini hata kama ulitangaza kodi hizo isiwe kwenye madini, sigara, vinywaji au bidhaa za kilimo, bali bodaboda na bajaji? Bila shaka mtu huyu anajua fika kwamba alichokifanya kingeleta taharuki kubwa sana kwenye jamii kulingana na kundi alilolienga, na hii ingemchafua Mh Waziri, Mwigulu Nchemba, mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia mapato na fedha za nchi hii.

Iko wazi, kwamba katika Wizara ambayo haina makandokando hata chembe, ni Wizara ya Fedha, Mama mwenyewe analijua hilo na alishawahi kutamka kwenye moja ya hotuba zake Ikulu. Hii haiwezi kuwa habari njema sana kwa watu wasiompenda Madelu, kama utakumbuka, juzi tu limetoka la uchache wa dola nchini, likadhibitiwa vikali sana kwa nguvu zote, leo mtu anatangaza kodi mpya ambayo haipo kwenye bajeti, yaani makosa yaleyale kwenye wizara ileile. Hapana, sio bure.

TRA imefanya vizuri sana kukanusha taarifa hii kwa umma. Na yule mtu lazima awekwe chini na aeleze ni kitu gani kilimsukuma kufanya kitendo cha kizembe kama kile? Kitengo kile matokeo yake ni sawa na wanachofanya watu wanaochochea machafuko kupitia maandamo nchi kwa maana, kama umetangaza kodi mpya kwa kudi la bodaboda na bajaji ambao zaidi ya 90% ni vijana na katika wakati ambao gharama za
maisha zimepanda kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, unategemea kitu gani?

Naipongeza sana TRA, maana tangazo lile la kizembe kama lingelala basi pengine tungeamka vibaya kesho.
Ngedere nyie Mwigulu fisadi mbwa koko yule
 
hiyo TRA unayopongeza mbona sijaona sehemu yeyote wamekanusha kwamba hiyo kodi haipo bali wamesema taarifa siyo rasimi, elewa neno "taarifa siyo rasimi" au tafuta mtu akupe tafasiri yake sahihi...
hiyo kodi ipo ila taarifa rasimi itatolewa muda sahihi ukifika, na siamini kuwa una uzoefu zaidi ya aliyetoa taarifa zaidi ya propaganda za kiserikali tu, subiri kodi inakuja kwa taarifa rasimi
Ngedere wamejaa sana nchi ya mazuzu
 
Kwani hata ikiwekwa hiyo kodi ndio unafikiri kitatokea nini? Ziliwekwa tozo na mnakaambiwa asiyetaka ahamie Burundi na hakuna aliyeleta fyoko fyoko.

Huu ni utawala na lazima mfuate wanachotaka watawala.

Issue kubwa sasa hivi ni bandari ila watawala washaamua inaenda inaenda tu utake usitake wewe ni mtawaliwa tu, na hakuna cha kubadilishwa wala fyoko fyoko gani sasa ndio itakuwa hao bodaboda?
 
Kwani hata ikiwekwa hiyo kodi ndio unafikiri kitatokea nini? Ziliwekwa tozo na mnakaambiwa asiyetaka ahamie Burundi na hakuna aliyeleta fyoko fyoko.

Huu ni utawala na lazima mfuate wanachotaka watawala.

Issue kubwa sasa hivi ni bandari ila watawala washaamua inaenda inaenda tu utake usitake wewe ni mtawaliwa tu, na hakuna cha kubadilishwa wala fyoko fyoko gani sasa ndio itakuwa hao bodaboda?
Ngoja tuone 😃
 
Ni kitendo cha muda tu hiyo kodi inakuja, kwa sasa wamesema taarifa sio rasmi ila rasmi inakuja.
 
Mmepewa alert tuu mjiandae kisaikolojia hyo itakuja mda sii mrefu,kiongozi awezi kukurupuka kutoa taarifa kama hyo ilihali haijawahi kujadiliwa kwenye vikao vyao
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, unaweza kutumia siku nzima kuwaza lakini kamwe usipate jibu hata. Fikiria, mtumishi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25, anatoka hadharani kutangaza kodi mpya kwa bodaboda na bajaji, kodi ambazo kwenye bajeti ya serikali ya Wizara ya Fedha 2023/24 haipo kwenye kurasa zote 277 za bajeti iliyosomwa na Mh Mwigulu Nchemba mwezi Juni 2023.

Ikiwa mtumishi mwenye uzoefu mkubwa kama huyo anafanya uzembe wa kiwango hicho, tutumie maneno gani sahahi kuonesha kwamba hii sio hujuma? Haya tuulizane ndugu zangu, ni lini jambo kama hili liliwahi kutokea hapo awali? Yani mtu atoke tu huko alipotoka, aite waandishi wa habari na kutanganza kodi mpya tena kwa kundi tata kwelikweli jamii, bodaboda na bajaji.

Kwanini hata kama ulitangaza kodi hizo isiwe kwenye madini, sigara, vinywaji au bidhaa za kilimo, bali bodaboda na bajaji? Bila shaka mtu huyu anajua fika kwamba alichokifanya kingeleta taharuki kubwa sana kwenye jamii kulingana na kundi alilolienga, na hii ingemchafua Mh Waziri, Mwigulu Nchemba, mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia mapato na fedha za nchi hii.

Iko wazi, kwamba katika Wizara ambayo haina makandokando hata chembe, ni Wizara ya Fedha, Mama mwenyewe analijua hilo na alishawahi kutamka kwenye moja ya hotuba zake Ikulu. Hii haiwezi kuwa habari njema sana kwa watu wasiompenda Madelu, kama utakumbuka, juzi tu limetoka la uchache wa dola nchini, likadhibitiwa vikali sana kwa nguvu zote, leo mtu anatangaza kodi mpya ambayo haipo kwenye bajeti, yaani makosa yaleyale kwenye wizara ileile. Hapana, sio bure.

TRA imefanya vizuri sana kukanusha taarifa hii kwa umma. Na yule mtu lazima awekwe chini na aeleze ni kitu gani kilimsukuma kufanya kitendo cha kizembe kama kile? Kitengo kile matokeo yake ni sawa na wanachofanya watu wanaochochea machafuko kupitia maandamo nchi kwa maana, kama umetangaza kodi mpya kwa kudi la bodaboda na bajaji ambao zaidi ya 90% ni vijana na katika wakati ambao gharama za maisha zimepanda kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, unategemea kitu gani?

Naipongeza sana TRA, maana tangazo lile la kizembe kama lingelala basi pengine tungeamka vibaya kesho.

Pia soma:
Hata mkataba wa Bandari ulivovujishwa mitandaoni,

Sirikali ilidai huo ni fake.!!!

Wenzio wanatest mitambo, wanakopa na wasijue wanalipaje!!!
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, unaweza kutumia siku nzima kuwaza lakini kamwe usipate jibu hata. Fikiria, mtumishi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25, anatoka hadharani kutangaza kodi mpya kwa bodaboda na bajaji, kodi ambazo kwenye bajeti ya serikali ya Wizara ya Fedha 2023/24 haipo kwenye kurasa zote 277 za bajeti iliyosomwa na Mh Mwigulu Nchemba mwezi Juni 2023.

Ikiwa mtumishi mwenye uzoefu mkubwa kama huyo anafanya uzembe wa kiwango hicho, tutumie maneno gani sahahi kuonesha kwamba hii sio hujuma? Haya tuulizane ndugu zangu, ni lini jambo kama hili liliwahi kutokea hapo awali? Yani mtu atoke tu huko alipotoka, aite waandishi wa habari na kutanganza kodi mpya tena kwa kundi tata kwelikweli jamii, bodaboda na bajaji.

Kwanini hata kama ulitangaza kodi hizo isiwe kwenye madini, sigara, vinywaji au bidhaa za kilimo, bali bodaboda na bajaji? Bila shaka mtu huyu anajua fika kwamba alichokifanya kingeleta taharuki kubwa sana kwenye jamii kulingana na kundi alilolienga, na hii ingemchafua Mh Waziri, Mwigulu Nchemba, mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia mapato na fedha za nchi hii.

Iko wazi, kwamba katika Wizara ambayo haina makandokando hata chembe, ni Wizara ya Fedha, Mama mwenyewe analijua hilo na alishawahi kutamka kwenye moja ya hotuba zake Ikulu. Hii haiwezi kuwa habari njema sana kwa watu wasiompenda Madelu, kama utakumbuka, juzi tu limetoka la uchache wa dola nchini, likadhibitiwa vikali sana kwa nguvu zote, leo mtu anatangaza kodi mpya ambayo haipo kwenye bajeti, yaani makosa yaleyale kwenye wizara ileile. Hapana, sio bure.

TRA imefanya vizuri sana kukanusha taarifa hii kwa umma. Na yule mtu lazima awekwe chini na aeleze ni kitu gani kilimsukuma kufanya kitendo cha kizembe kama kile? Kitengo kile matokeo yake ni sawa na wanachofanya watu wanaochochea machafuko kupitia maandamo nchi kwa maana, kama umetangaza kodi mpya kwa kudi la bodaboda na bajaji ambao zaidi ya 90% ni vijana na katika wakati ambao gharama za maisha zimepanda kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, unategemea kitu gani?

Naipongeza sana TRA, maana tangazo lile la kizembe kama lingelala basi pengine tungeamka vibaya kesho.

Pia soma:
Nyang’au nyie lazima mlipe kodi kwa maendeleo ya taifa. Lipeni kodi ili nchi iendelee
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, unaweza kutumia siku nzima kuwaza lakini kamwe usipate jibu hata. Fikiria, mtumishi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25, anatoka hadharani kutangaza kodi mpya kwa bodaboda na bajaji, kodi ambazo kwenye bajeti ya serikali ya Wizara ya Fedha 2023/24 haipo kwenye kurasa zote 277 za bajeti iliyosomwa na Mh Mwigulu Nchemba mwezi Juni 2023.

Ikiwa mtumishi mwenye uzoefu mkubwa kama huyo anafanya uzembe wa kiwango hicho, tutumie maneno gani sahahi kuonesha kwamba hii sio hujuma? Haya tuulizane ndugu zangu, ni lini jambo kama hili liliwahi kutokea hapo awali? Yani mtu atoke tu huko alipotoka, aite waandishi wa habari na kutanganza kodi mpya tena kwa kundi tata kwelikweli jamii, bodaboda na bajaji.

Kwanini hata kama ulitangaza kodi hizo isiwe kwenye madini, sigara, vinywaji au bidhaa za kilimo, bali bodaboda na bajaji? Bila shaka mtu huyu anajua fika kwamba alichokifanya kingeleta taharuki kubwa sana kwenye jamii kulingana na kundi alilolienga, na hii ingemchafua Mh Waziri, Mwigulu Nchemba, mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia mapato na fedha za nchi hii.

Iko wazi, kwamba katika Wizara ambayo haina makandokando hata chembe, ni Wizara ya Fedha, Mama mwenyewe analijua hilo na alishawahi kutamka kwenye moja ya hotuba zake Ikulu. Hii haiwezi kuwa habari njema sana kwa watu wasiompenda Madelu, kama utakumbuka, juzi tu limetoka la uchache wa dola nchini, likadhibitiwa vikali sana kwa nguvu zote, leo mtu anatangaza kodi mpya ambayo haipo kwenye bajeti, yaani makosa yaleyale kwenye wizara ileile. Hapana, sio bure.

TRA imefanya vizuri sana kukanusha taarifa hii kwa umma. Na yule mtu lazima awekwe chini na aeleze ni kitu gani kilimsukuma kufanya kitendo cha kizembe kama kile? Kitengo kile matokeo yake ni sawa na wanachofanya watu wanaochochea machafuko kupitia maandamo nchi kwa maana, kama umetangaza kodi mpya kwa kudi la bodaboda na bajaji ambao zaidi ya 90% ni vijana na katika wakati ambao gharama za maisha zimepanda kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, unategemea kitu gani?

Naipongeza sana TRA, maana tangazo lile la kizembe kama lingelala basi pengine tungeamka vibaya kesho.

Pia soma:
Hao bodaboda walipe kodi km wananchi wengine.
 
Hii nchi kwa sasa haina Rais, nchi kwa sasa inaongozwa na kikundi kiovu chenye nia mbaya na taifa hili, na Mama ni geresha tu. Kosa kubwa kwa Magufuli ni kushindwa kuunda mfumo bora wa uendeshaji nchi na hili litatugharimu sana.
 
Kuna mambo yanafikirisha sana, unaweza kutumia siku nzima kuwaza lakini kamwe usipate jibu hata. Fikiria, mtumishi wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 25, anatoka hadharani kutangaza kodi mpya kwa bodaboda na bajaji, kodi ambazo kwenye bajeti ya serikali ya Wizara ya Fedha 2023/24 haipo kwenye kurasa zote 277 za bajeti iliyosomwa na Mh Mwigulu Nchemba mwezi Juni 2023.

Ikiwa mtumishi mwenye uzoefu mkubwa kama huyo anafanya uzembe wa kiwango hicho, tutumie maneno gani sahahi kuonesha kwamba hii sio hujuma? Haya tuulizane ndugu zangu, ni lini jambo kama hili liliwahi kutokea hapo awali? Yani mtu atoke tu huko alipotoka, aite waandishi wa habari na kutanganza kodi mpya tena kwa kundi tata kwelikweli jamii, bodaboda na bajaji.

Kwanini hata kama ulitangaza kodi hizo isiwe kwenye madini, sigara, vinywaji au bidhaa za kilimo, bali bodaboda na bajaji? Bila shaka mtu huyu anajua fika kwamba alichokifanya kingeleta taharuki kubwa sana kwenye jamii kulingana na kundi alilolienga, na hii ingemchafua Mh Waziri, Mwigulu Nchemba, mtu aliyepewa dhamana ya kusimamia mapato na fedha za nchi hii.

Iko wazi, kwamba katika Wizara ambayo haina makandokando hata chembe, ni Wizara ya Fedha, Mama mwenyewe analijua hilo na alishawahi kutamka kwenye moja ya hotuba zake Ikulu. Hii haiwezi kuwa habari njema sana kwa watu wasiompenda Madelu, kama utakumbuka, juzi tu limetoka la uchache wa dola nchini, likadhibitiwa vikali sana kwa nguvu zote, leo mtu anatangaza kodi mpya ambayo haipo kwenye bajeti, yaani makosa yaleyale kwenye wizara ileile. Hapana, sio bure.

TRA imefanya vizuri sana kukanusha taarifa hii kwa umma. Na yule mtu lazima awekwe chini na aeleze ni kitu gani kilimsukuma kufanya kitendo cha kizembe kama kile? Kitengo kile matokeo yake ni sawa na wanachofanya watu wanaochochea machafuko kupitia maandamo nchi kwa maana, kama umetangaza kodi mpya kwa kudi la bodaboda na bajaji ambao zaidi ya 90% ni vijana na katika wakati ambao gharama za maisha zimepanda kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, unategemea kitu gani?

Naipongeza sana TRA, maana tangazo lile la kizembe kama lingelala basi pengine tungeamka vibaya kesho.

Pia soma:


Akili hiyo hiyo ndiyo hutumika kukadiria na kudai kodi.
 
Back
Top Bottom