Bobrisky, The famous and rich Gay in Nigeria

Ndio leo najua, huyu namuona kilasiku Instagram nime m-follow sijawai kujua wala kufikiri ni mwanaume yaani najua mwanamke hapa ndio nimeshangaa shoga.
 
Ndio leo najua, huyu namuona kilasiku Instagram nime m-follow sijawai kujua wala kufikiri ni mwanaume yaani najua mwanamke hapa ndio nimeshangaa shoga.

Hahaha nyie ndo wale wale wanachembaaaaa (kwa sauti ya Mangwea)
 
Ulianzaje anzaje mpaka uka mfollow??

Comment za watu ulikuwa huzisomi?
Mkuu kumfollow mwenye account ya IG kawaida nimewa follow Wendi mpaka wengine siwajui.

pitia kwahiyo page yake ndio utaelewa hakuna comment hata moja utakuta inahusu kumsema wewe shoga, hakuna Post amepost inahusu ushoga yaani total kama account ya mwanamke wa kawaida tu maarufu...content zake nyingi ni lifestyle, expensive life na biashara ingekuwa bongo ndio ningemjua ni shoga maana bongo unatujua comment zetu “kisamvu ilo” inakuwa rahisi ila hakuna kiashiria hata kimoja cha kujua niemwanaume nilivyoona huu uzi sijaamini nimeenda kuangalia vizuri page yake.
 
huyo ni "shemale" some of them have a huge dick son.😂😂😂
source Google
 
Hiyo sio shoga watu kama hawa wana jina lao maalumu wanaitwa transgender people au transwoman( kwenye porn wanaitwa she male,tranny,ladyboy n.k) transwoman ni mwanaume ambaye licha ya kuzaliwa mwanaume anaamini yeye ni mwanamke so anaamua kujibadilisha ili kumatch na jinsia anayoitamani vice versa is transman mwanamke anayejibadilisha na kuwa mwanaume shoga hajibadilish hata siku moja mwisho acha mashoga waongezeke tu hii inapunguza ushindani so watoto wazuri tutaendelea kuwatafuna wachache nawachukia sana wasagaji coz wanatuzibia ridhiki kwa watoto wazuri
 
Na wewe unataka kufwata nyayo zake?

Mtu yoyote anaeongelea habari za mashoga ana walakini,either ni mmoja wao au anatamani kuwa kama wao

Nataman kuwa kama yeye , Kwan shida yako nini ? Au unataka kunipangia maisha ?
 
Duuh kama demu kabisa
Shoga maarufu kutoka pande za +234 , Idris okuneye(28), maarufu kama BOBRISKY, ndiye staa shoga aliyeamua kujiweka wazi nchini Kwao kwa kuvaa na kuishi kama mwanamke, unaambiwa hutumia mamillion ya pesa kujiremba na ku maintain muonekano wa kike.

Shoga huyo ambaye pia ni rafiki wa muigizaji mkongwe, Tontoh Dikeh, amekua akivutia watu mbali mbali kwa umahiri wake wa kujiremba na kuishi maisha expensive pengine kuliko mastaa wengine nchini humo.

Bobrisky anajihusisha na biashara ya vipodozi ambayo anadai ndo iliyompa utajir wa kutisha mpaka sasa, ingawa hata yeye mwenyewe pia amewahi kusema mara kwa mara kuwa anatoka na ma politician na watu wazito wenye pesa zao nchini humo ambao pia wanampa jeuri ya kuishi maisha ya kifahari huko Lagos stateView attachment 1120226View attachment 1120227View attachment 1120228View attachment 1120229, Lekki phase 1 maeneo wanayokaa ma billionea wa kutisha
 
Uko Lekki inaonekana ni high residential area kwa Nigeria, kuna mwamba mmoja aanaitwa KinBlacHoc naona maovu yake anayafanyiaa mitaaa hiyo
 
Huyu diapers zinahusika kabisa, la sivyo akikaa lazima aloweshe kiti.
 
Back
Top Bottom