October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Ndio leo najua, huyu namuona kilasiku Instagram nime m-follow sijawai kujua wala kufikiri ni mwanaume yaani najua mwanamke hapa ndio nimeshangaa shoga.
Ndio leo najua, huyu namuona kilasiku Instagram nime m-follow sijawai kujua wala kufikiri ni mwanaume yaani najua mwanamke hapa ndio nimeshangaa shoga.
Mkuu kumfollow mwenye account ya IG kawaida nimewa follow Wendi mpaka wengine siwajui.Ulianzaje anzaje mpaka uka mfollow??
Comment za watu ulikuwa huzisomi?
Basi bora tu awapishe wenzake huko Doha.Alioa harusi kabisa ya kimila live mchana kweupe
Shoga maarufu kutoka pande za +234 , Idris okuneye(28), maarufu kama BOBRISKY, ndiye staa shoga aliyeamua kujiweka wazi nchini Kwao kwa kuvaa na kuishi kama mwanamke, unaambiwa hutumia mamillion ya pesa kujiremba na ku maintain muonekano wa kike.
Shoga huyo ambaye pia ni rafiki wa muigizaji mkongwe, Tontoh Dikeh, amekua akivutia watu mbali mbali kwa umahiri wake wa kujiremba na kuishi maisha expensive pengine kuliko mastaa wengine nchini humo.
Bobrisky anajihusisha na biashara ya vipodozi ambayo anadai ndo iliyompa utajir wa kutisha mpaka sasa, ingawa hata yeye mwenyewe pia amewahi kusema mara kwa mara kuwa anatoka na ma politician na watu wazito wenye pesa zao nchini humo ambao pia wanampa jeuri ya kuishi maisha ya kifahari huko Lagos stateView attachment 1120226View attachment 1120227View attachment 1120228View attachment 1120229, Lekki phase 1 maeneo wanayokaa ma billionea wa kutisha
Hiyo habari na hizo picha vimesababisha nimetapikia simu yangu.
PoleMic u binamu!!
Ahsanteee!!Pole