C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
mbona mtoto wa charles kimei anakula pesa za crdb huongei na wewe kila siku unapeleka ku deposit crdb??andika unachojua, sio unachodhani. Kama kudhani unaruhusiwa kudhani mwamvita ni mother theresa. Unajua au hujui, that is the questioni?
Kama habari ni kudhani, mimi naweza kusema "sidhani kama mange anaweza kuweka picha hizi za mwamvita bila ruhusa ya mwamvita". This makes sense to me more than your angle.
Isitoshe, mwamvita kama hataki picha hizi ziwe mtandaoni ni kiasi cha kumpigia simu tu mwenye website zitatoka. Kwa kutofanya hivyo anatufanya tuamini kwamba anataka ziwepo mtandaoni, especially kwa sababu aliyeziweka mtandaoni/ mwenye blog amepiga naye picha.
Two wrongs do not make a right. Watu wameanza kuua toka time immemorial, hili halihalalishi wewe kuua leo na kusema "mie si wa kwanza". Hii si defence, hii ni admission ya kufanya kosa.
Kwanza obama si yardstick ya ethics na intellect. Obama katumia madawa ya kulevya. Mwamvita akitumia madawa ya kulevya leo utasema ni sawa kwa sababu obama katumia?
Obama anatoka katika nchi tofauti, yenye uchumi tofauti, utamaduni tofauti, na ana kazi tofauti sana na huyu dada. Hata kama ungetuonyesha spokesperson wa verizon anatanua hivyo dubai, bado huja address point yangu ya huyu dada ku betray hipocrisy ya mfanyakazi wa kampuni ya simu nchi masikini kujishaua kianasa na kuruhusu picha zake ziwe mtandaoni.
Wateja wa vodacom tunaweza kuanza kuuliza, hivi kumbe zile ada za juu za service ya simu ndivyo zinavyotumika hivi? Nchi zenye watu wanaojua corporate responsibility watu wanauliza maswali kama hayo.
Kuna mtu alikwenda kuchagua system ya simu kufunga ofisini kwake. Kufika kwenye mkutano na kampuni ya simu akaandaliwa bonge la fete, misosi kibaoooo, miiingi. Akala kidogo tu, kukaa mezani akaonyeshwa systems za simu na bei zake. Akasema ngoja nichukue literature nitawataarifu.
Kurudi ofisini kwake akaniambia "i am not going to go with those guys, they are extravagant and probably overpriced, there is no free lunch, we will end up paying for all that extravagant fete".
There is no free lunch, hizi anasa zote hizi zinatoka katika bili za simu za wateja wa vodacom. Ndivyo tunavyotaka hela za wavuja jasho wa nchi masikini zitumiwe hivi?
Siwezi kum-overestimate mtu aliyeshindwa kujua ku hold off miss tanzania on the day of a national disaster, mtu ambaye kazi yake ndogo tu ya kuuza sura anataka kuiharibu kwa kuchanganya maisha binafsi na brand ya vodacom.
Tafsiri yangu ya kutofautisha maisha ya mtu na kazi ya public relations inatokana na world established ethics za pr.
Mwache mwamvita ale bwana kama wewe ungepata hiyo nafasi pengine ungefanya starehe more than her...au tatizo nini kutokea kwa blog??
Muraaaaa nini tatizo muraaaaaa