Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
Arifu...unapimam vipi mtu kufanikiwa? kukaa kwenye hotel kubwa kwa pesa ya charity?Piga, ua, garagaza mwamvita yuko juu kama messi(uliona alivo wa dribble mabeki wa madrid juzi!)...she is smart kuanzia darasani mpaka kwenye vitendo...imagine anamiaka 4 tu apo voda lakini cheki izo achievements alizo fanya....jaman kama kuna mtu ana mchongo wa voda tushtuane
Au kuvaa CL?
Au unapimaje achievement arifu? mimi hapa ndio nakoma na wabongo aisee.....