Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,175
- 20,648
- Thread starter
- #61
Ndio maana kwenye jinai unadhibitisha pasi na shaka.Evidence zilikuwaje? What if mdada anamzingizia mkaka? Je mdada alipiga kelele ?
Tusiingie mtego wa kuwapa sana kina dada ushindi kwenye kila kesi