Binadamu wa kwanza kuendelea ni Muafrika sio Mzungu. Ujinga na umasikini ulionao umejitakia mwenyewe.

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,590
15,385
Ustaarabu na maendeleo duniani ulianzia Misri. Misri ilikuwa na watu weusi wa kutosha. Ndio maana hata wazungu walienda kuvamia sanamu za mafarao na kuzing'oa mapua ili kupoteza ushahidi. Enzi hizi wazungu wanaishi mapangoni kama manyani.
images (2).jpeg


Kwa muJibu wa kitabu why nations fail, kuna maelezo kuwa kuna kipindi Congo kulikuwa na mji wenye maendeleo makubwa kuliko london miaka hiyo. Hayo yalielezewa na mlowezi wa kwanza kufika huko vijijini.

Hizo akili ndio akili ulizonazo wewe.
Ukiamua kujifanya mjingamjinga na masikini usiye na muelekeo eti kwa sababu wengi wamekubali ni wewe binafsi.

Unaakili kuliko wazungu, wachina, waarabu na wahindi. Hili ndio nimejifunza leo wakati napuyanga kwenye vyanzo vyangu vya maarifa.

Ni hayo tu.
 
Ustaarabu na maendeleo duniani ulianzia Misri. Misri ilikuwa na watu weusi wa kutosha. Ndio maana hata wazungu walienda kuvamia sanamu za mafarao na kuzing'oa mapua ili kupoteza ushahidi. Enzi hizi wazungu wanaishi mapangoni kama manyani.
View attachment 2823354

Kwa muJibu wa kitabu why nations fail, kuna maelezo kuwa kuna kipindi Congo kulikuwa na mji wenye maendeleo makubwa kuliko london miaka hiyo. Hayo yalielezewa na mlowezi wa kwanza kufika huko vijijini.

Hizo akili ndio akili ulizonazo wewe.
Ukiamua kujifanya mjingamjinga na masikini usiye na muelekeo eti kwa sababu wengi wamekubali ni wewe binafsi.

Unaakili kuliko wazungu, wachina, waarabu na wahindi. Hili ndio nimejifunza leo wakati napuyanga kwenye vyanzo vyangu vya maarifa.

Ni hayo tu.
Ni upumbavu kuamini kwamba ujinga na umaskini wako umeletwa na Mwingine (Mzungu)
 
Ustaarabu na maendeleo duniani ulianzia Misri. Misri ilikuwa na watu weusi wa kutosha. Ndio maana hata wazungu walienda kuvamia sanamu za mafarao na kuzing'oa mapua ili kupoteza ushahidi. Enzi hizi wazungu wanaishi mapangoni kama manyani.
View attachment 2823354

Kwa muJibu wa kitabu why nations fail, kuna maelezo kuwa kuna kipindi Congo kulikuwa na mji wenye maendeleo makubwa kuliko london miaka hiyo. Hayo yalielezewa na mlowezi wa kwanza kufika huko vijijini.

Hizo akili ndio akili ulizonazo wewe.
Ukiamua kujifanya mjingamjinga na masikini usiye na muelekeo eti kwa sababu wengi wamekubali ni wewe binafsi.

Unaakili kuliko wazungu, wachina, waarabu na wahindi. Hili ndio nimejifunza leo wakati napuyanga kwenye vyanzo vyangu vya maarifa.

Ni hayo tu.
iyo species ya hao nubians haipo imebaki ya wala mbususu tu
 
Ustaarabu na maendeleo duniani ulianzia Misri. Misri ilikuwa na watu weusi wa kutosha. Ndio maana hata wazungu walienda kuvamia sanamu za mafarao na kuzing'oa mapua ili kupoteza ushahidi. Enzi hizi wazungu wanaishi mapangoni kama manyani.
View attachment 2823354

Kwa muJibu wa kitabu why nations fail, kuna maelezo kuwa kuna kipindi Congo kulikuwa na mji wenye maendeleo makubwa kuliko london miaka hiyo. Hayo yalielezewa na mlowezi wa kwanza kufika huko vijijini.

Hizo akili ndio akili ulizonazo wewe.
Ukiamua kujifanya mjingamjinga na masikini usiye na muelekeo eti kwa sababu wengi wamekubali ni wewe binafsi.

Unaakili kuliko wazungu, wachina, waarabu na wahindi. Hili ndio nimejifunza leo wakati napuyanga kwenye vyanzo vyangu vya maarifa.

Ni hayo tu.
Imebaki historia historia ya leo ni tofauti sasa tumefail tumebaki nyuma nyuma kama mikia
 
Ni upumbavu kuamini kwamba ujinga na umaskini wako umeletwa na Mwingine (Mzungu)
No mkuu ,jaribu kusoma tena mada inasemaje,ujinga na umasikini TUMEJITAKIA WENYEWE na sio wazungu au watu wengine, sasa ndio naamini why UCT imeamua kuajiri waalimu wa kiswahili kutoka Kenya
 
Nachelea kusema huenda bado una mawazo mufilisi (Maendeleo na Kuendelea kwa jamii inategemea fikra za watu kwa wakati huo na necessity... (Necessity being the mother of all Invention).., By the way kuendelea ni nini na kupi..., Kwa Muafrica kutokana na Mazingira yake na hali ya utajiri huenda hakuhitaji baadhi ya vitu au ugunduzi mwingine.., ingawa katika uvumbuzi wa pottery kufua vyuma n.k. upo katika sehemu nyingi tu Africa.... (Egypt was a Desert they had to think how to survive or Perish)..., ingawa civilization nyingi zilikuwepo sehemu ambazo kuna resources za kumbadilisha binadamu from a hunter and gatherer to a social being...

Kama unaongelea utajiri Mansa Mussa was once the richest man in the world (ingawa hizo dhahabu n.k. kusema zilikuwa zake pia ni kupotoka - ilikuwa mali ya jamii)

Ila tukiongelea mwanzo wa binadamu after all Tanzania is the Cradle of Humanity....

In short uelewa haupo kwenye ngozi bali ni katika pursuit of knowledge...

Ila kabla sijafika mbali akili ni nini ?

 
Ustaarabu na maendeleo duniani ulianzia Misri. Misri ilikuwa na watu weusi wa kutosha. Ndio maana hata wazungu walienda kuvamia sanamu za mafarao na kuzing'oa mapua ili kupoteza ushahidi. Enzi hizi wazungu wanaishi mapangoni kama manyani.
View attachment 2823354

Kwa muJibu wa kitabu why nations fail, kuna maelezo kuwa kuna kipindi Congo kulikuwa na mji wenye maendeleo makubwa kuliko london miaka hiyo. Hayo yalielezewa na mlowezi wa kwanza kufika huko vijijini.

Hizo akili ndio akili ulizonazo wewe.
Ukiamua kujifanya mjingamjinga na masikini usiye na muelekeo eti kwa sababu wengi wamekubali ni wewe binafsi.

Unaakili kuliko wazungu, wachina, waarabu na wahindi. Hili ndio nimejifunza leo wakati napuyanga kwenye vyanzo vyangu vya maarifa.

Ni hayo tu.
Sio Waafrika wala wazungu,
Ni Wa-mesopotamia (Wa-iran, Waarabu, Wasirya na Waturuki)
 
Siyo kweli mtu mweusi aliendelea kumzidi Mzungu,,Akili za wafrica wanazijua wenyewe,,
Mzungu alishaendelea na anazidisha kuendelea,, Mwafrica badala ya kuendelea anazidi kudumaa,,, vya kuambiwa changanya na vyako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom