YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Miaka nenda rudi tumeimbishwa na wanasiasa kuwa adui mkubwa wa watanzania wengi ni umasikini, ujinga na maradhi Mimi nilichogundua sio kweli tatizo kubwa ni kuridhika haraka.
Mfano tumeridhika na dawa za wazungu ndio maana hatugundui zetu, tumeridhika na elimu ya wazungu ndio maana hatuna yetu , tumeridhika na kakilimo ketu na kakipato ketu na makazi yetu Mungu atupe nini.
Mainchi matajiri watu wake hawaridhiki haraka ndio maana kutwa hugundua na hutaka kwenda mbele zaidi kwenye maeneo yote ya maisha iwe kilimo,biashara,kipato,ufundi,elimu nk.
Akina bakhresa Ni mabilionea sababu hawaridhiki kiwango Chao Cha kutoridhika Kiko juu.
Kiwango Cha kuridhika haraka watanzania wengi ngozi nyeusi kiko juu kuliko wahindi,waarabu na wazungu.
Mfano tumeridhika na dawa za wazungu ndio maana hatugundui zetu, tumeridhika na elimu ya wazungu ndio maana hatuna yetu , tumeridhika na kakilimo ketu na kakipato ketu na makazi yetu Mungu atupe nini.
Mainchi matajiri watu wake hawaridhiki haraka ndio maana kutwa hugundua na hutaka kwenda mbele zaidi kwenye maeneo yote ya maisha iwe kilimo,biashara,kipato,ufundi,elimu nk.
Akina bakhresa Ni mabilionea sababu hawaridhiki kiwango Chao Cha kutoridhika Kiko juu.
Kiwango Cha kuridhika haraka watanzania wengi ngozi nyeusi kiko juu kuliko wahindi,waarabu na wazungu.