Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 9,468
- 8,281
Bonge la ujumbe....Wanawake ubinafsi unawasumbua Sana ukiwatongoza shida usipowatongoza wakioa upo happy na hukosi kulipa bills zako Basi wanaanza ku-hate bila sababu.
Hawa Jamaa usithubutu kuongea nao habari yoyote senstive stay away with them.
Wape salamu tu inatosha nothing else.
Then nyie wanaume ndo mnasababisha yatokee yote haya kuwashobokea Hawa KE tena Sehemu za kutafta ugali so usikubali