Mademoiselle
JF-Expert Member
- Jul 11, 2022
- 722
- 2,914
Lakini naona mengi yanayoandikwa humu ni very controversial na yanayotokea mtaani. Au humu JF tuko Mars??..sijajuaš
.
āMbona naona watu kutoka kazini pamoja, kugombea daladala au mmoja kumsogeza mwenzake kwa gari yake mpaka kwenye kituo cha karibu na kwake. (This means kuna conversation hufanyika)
āMbona tunaona workers kutoka kwenda kula lunch na hata dinner dates pamoja.
āMbona ninaona wanaume hasa kwenda kukaa kwenye bia na nyamachoma iwe ni weekdays kuloosen up ama weekends pamoja. Tena others wanakuaga na sare za ofisini kabisa.
āMbona tunaona wanawake kuwa na Saccos sijui vicoba katika ofisi flani flani watu wataacha kujuana kiundani?
āMbona ninaona watu kufanyiana maparty na kuwa close hasa jinsia tofauti, mtu zinakulana humo, no discipline or what.
Halafu wanawake tumelaumiwa na si uongo ni kweli, lakin kwa records zilizomo ubatili maofisini unafanywa zaidi na wanaume. Wanaume siku hizi mmekua sio poa, roho kiwi zimewajaa pia wengi wenu tu. Mfano halisi tafuta mafamous chawa hapa tanzania....ni jinsia gani wale??? I mean no malice to anybody...ni mtazamo tu!!
āMbona naona watu kutoka kazini pamoja, kugombea daladala au mmoja kumsogeza mwenzake kwa gari yake mpaka kwenye kituo cha karibu na kwake. (This means kuna conversation hufanyika)
āMbona tunaona workers kutoka kwenda kula lunch na hata dinner dates pamoja.
āMbona ninaona wanaume hasa kwenda kukaa kwenye bia na nyamachoma iwe ni weekdays kuloosen up ama weekends pamoja. Tena others wanakuaga na sare za ofisini kabisa.
āMbona tunaona wanawake kuwa na Saccos sijui vicoba katika ofisi flani flani watu wataacha kujuana kiundani?
āMbona ninaona watu kufanyiana maparty na kuwa close hasa jinsia tofauti, mtu zinakulana humo, no discipline or what.
Halafu wanawake tumelaumiwa na si uongo ni kweli, lakin kwa records zilizomo ubatili maofisini unafanywa zaidi na wanaume. Wanaume siku hizi mmekua sio poa, roho kiwi zimewajaa pia wengi wenu tu. Mfano halisi tafuta mafamous chawa hapa tanzania....ni jinsia gani wale??? I mean no malice to anybody...ni mtazamo tu!!