Binadamu hatupendani hasa makazini wengine tunafosi tu

Binadamu hatupendani hasa makazini wengine tunafosi tu

Short tale..
Alisoma shule za seminari kuanzia kidato cha 1 mpk cha 4. Akapata mfadhili wa kumsomesha kidato cha 5&6. Akafaulu vizuri. Akapata scholarship nchi za nje. Akaweza kupata bsc. na masters. Alikua kijana mwenye haiba nzuri, mwerevu, mpole na mcha Mungu. Kiongozi flani (kwa sasa he is late) akaunyaka wasifu wake. Akamrudisha nchini na kumpa kitengo katika balozi za nchi zilizoko kusini.

Alivyoingia pale, wahafidhina wakamuona ni tishio. Aliendelea kumcha Mungu. Behind the scene kuna njama zikasukwa. Akapewa kesi ya human trafficking. Mpk kuja kuprove sio kweli, miaka imepita shwaa. Hakuweza kupata ajira tena. His character was assasinated. Akarudi mbwinde kuishi. Akaamua kulima zake mahindi madongoni. His career slapped him hard.

10 years later:
Paroko mmoja katika shirika la white fathers anatembelea mbwinde. Akasikia story yake. Ashukuriwe Mungu kuna mchongo wa maana na huyu victim ni fit candidate. Akatafutwa, fanyiwa counselling, pigishwa interview, akafaulu. Sasa aanze kujiandaa kwenda kureport nchi za mbali....guess what.......
Akapata ajali ya bodaboda, akiwa na passport yake mkononi. He is no more!![emoji20][emoji20]

Kuna msemo unasema keep your friends close and your enemies closer. Naona hapa ulibackfire kinoma....
MUNGU atutetee katika sehemu zetu za kujipatia kipato. Kuna vita sana ktk kuupata mkate wa kila siku..
Neema ya Kristo ikae nawe...
Mmh! This tale is so touching, for really a human being is more than a beast [emoji17]
 
Short tale..
Alisoma shule za seminari kuanzia kidato cha 1 mpk cha 4. Akapata mfadhili wa kumsomesha kidato cha 5&6. Akafaulu vizuri. Akapata scholarship nchi za nje. Akaweza kupata bsc. na masters. Alikua kijana mwenye haiba nzuri, mwerevu, mpole na mcha Mungu. Kiongozi flani (kwa sasa he is late) akaunyaka wasifu wake. Akamrudisha nchini na kumpa kitengo katika balozi za nchi zilizoko kusini.

Alivyoingia pale, wahafidhina wakamuona ni tishio. Aliendelea kumcha Mungu. Behind the scene kuna njama zikasukwa. Akapewa kesi ya human trafficking. Mpk kuja kuprove sio kweli, miaka imepita shwaa. Hakuweza kupata ajira tena. His character was assasinated. Akarudi mbwinde kuishi. Akaamua kulima zake mahindi madongoni. His career slapped him hard.

10 years later:
Paroko mmoja katika shirika la white fathers anatembelea mbwinde. Akasikia story yake. Ashukuriwe Mungu kuna mchongo wa maana na huyu victim ni fit candidate. Akatafutwa, fanyiwa counselling, pigishwa interview, akafaulu. Sasa aanze kujiandaa kwenda kureport nchi za mbali....guess what.......
Akapata ajali ya bodaboda, akiwa na passport yake mkononi. He is no more!!😞😞

Kuna msemo unasema keep your friends close and your enemies closer. Naona hapa ulibackfire kinoma....
MUNGU atutetee katika sehemu zetu za kujipatia kipato. Kuna vita sana ktk kuupata mkate wa kila siku..
Neema ya Kristo ikae nawe...
UKWELI.HAYA NDIO MAISHA TUNAYOISHI.
 
Jinsia ya kike kwa kazini honestly ni jipu...japo mie pia wa kike 😃

Sijajua ni damu yangu ya kunguni ama nini lakini maisha yangu ya tangu high school,chuo hata kazini jinsia ya kike ndio imekuwa tatizo zaidi kwangu

Sijui hata nawakosea nini manake kiuhalisia i don't talk much wala sina mazoea sana in real life
Mdada anamwambia HOD eti panga ratiba wale wote wenye biashara zao washindwe kufanya hizo biashara. Yani hataki wenzie wawe na vyanzo vingine vya mapato, wivu tu.
 
Mkiambiwa mjiajiri mnaona watu wajinga ukute umeajiriwa na mtu alie jiajiri. Ukiona kazi huwezi acha sitaki kuamini mtu anaejiheshimu asiefuatilia ya watu anaweza letewa figisu kama mwanaume kuwa na misimamo yako hutayumbishwa. Alafu unaandika kama wanaokuletea figisu wapo jf na kama wapo wataje mwaga nyongo
Hatuwezi wote kujiajiri, weka akilini hilo. Diversification lazima iwepo, hata wazazi wako pengine walikua waajiriwa ndio wewe ukasomeshwa uko hapo ulipo.

Ni ngumu kuelewa hizi situations za makazini kama hujawahi pitia hayo mazingira. Kuna watu wana roho mbaya za ajabu wivu uliokithiri na kila aina ya ubaya kwa wengine. Kwenye kujiajiri hujawahi pitia hizi changamoto? Basi pengine na wewe bado ni amateur, kaa kwny game kwa muda.....utaelewa
 
Hatuwezi wote kujiajiri, weka akilini hilo. Diversification lazima iwepo, hata wazazi wako pengine walikua waajiriwa ndio wewe ukasomeshwa uko hapo ulipo.

Ni ngumu kuelewa hizi situations za makazini kama hujawahi pitia hayo mazingira. Kuna watu wana roho mbaya za ajabu wivu uliokithiri na kila aina ya ubaya kwa wengine. Kwenye kujiajiri hujawahi pitia hizi changamoto? Basi pengine na wewe bado ni amateur, kaa kwny game kwa muda.....utaelewa
Bora umenisaidia mkuu
 
Jinsia ya kike kwa kazini honestly ni jipu...japo mie pia wa kike 😃

Sijajua ni damu yangu ya kunguni ama nini lakini maisha yangu ya tangu high school,chuo hata kazini jinsia ya kike ndio imekuwa tatizo zaidi kwangu

Sijui hata nawakosea nini manake kiuhalisia i don't talk much wala sina mazoea sana in real life
Mtume muhammad saw alisema aliwakuta wananwake wengi motoni , kwakweli wanawake ni mtihani wanafki,wana chuki bila ya sababu, roho mbaya ,umbea , hasa hivi vifupi ndio shida sana hata kwenye ndoa zao
 
Mtume muhammad saw alisema aliwakuta wananwake wengi motoni , kwakweli wanawake ni mtihani wanafki,wana chuki bila ya sababu, roho mbaya ,umbea , hasa hivi vifupi ndio shida sana hata kwenye ndoa zao
[emoji12][emoji12][emoji16][emoji16]
 
Jinsia ya kike kwa kazini honestly ni jipu...japo mie pia wa kike [emoji2]

Sijajua ni damu yangu ya kunguni ama nini lakini maisha yangu ya tangu high school,chuo hata kazini jinsia ya kike ndio imekuwa tatizo zaidi kwangu

Sijui hata nawakosea nini manake kiuhalisia i don't talk much wala sina mazoea sana in real life
Kuna tyme unawaza hivi hyu kwa hizi kunguni anazo nisaigia nikitimuliwa hapa yeye kipi kinaongezeka kake? Hakuna cha maana, sasa yote haya anafanya kwa nn hupati majibu.

Basi unabaki kujikalia kimya tu
 
Haiwezekani mtu sili kwako, hunipi msaada wowote, sina ukaribu wowote na wewe hizi chuki, fitina, figisu zinatoka wapi? Uwepo wangu kazini wewe unapungukiwa nini?

Tuheshimiane jinsia ya kike kazini upuuzi tupu. Mwenye masikio na asikie sitaki mazoea

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Naomba usikilize huu wimbo,,,NI MUNGU TU by Anastacia Muema.
 
Katika ajira siku zote, ingia muda unaopaswa kuingia, fanya unachopaswa kufanya kwa weledi mkuu bila kufanya ushindani na wengine. Acha utendaji wako uongee wenyewe.

Chochote kisichokuhusu na kisicho na athari yeyote kwako ama ajira yako basi kipuuze kama vile hukioni.

Boss sio rafiki yako na haijalishi kwa kiasi gani anaonyesha kukupenda, ni kwamba anapenda nguvu yako na utendaji wako kwa wakati husika, akikosa matumizi na wewe atakuondosha bila kufikiria mara mbili.

Muda wa kuondoka ukifika fanya kama vile umefukuzwa, ni kwamba toka nduki uende nyumbani. Kazini sio kijiwe cha soga, usiweke mazoea sana.

Wafanyakazi wenzio sio rafiki zako. Ujamaa wenu unaishia pale muda wenu wa kazi unapoishia. Hawapaswi kujua zaidi ya kile chenye mahusiano na kazi yenu.

Kubwa na la muhimu zaidi, hakuna anaekupenda kazini hivyo usitarajie kuwa kuna anaethamini uwepo wako hapo. Kila rafiki wa kazini ni snitch mtarajiwa, ikitokea akapata fursa ya kukusnitch atakuuza bila jitimai ya nafsi.
Subscribled.
 
Mkiambiwa mjiajiri mnaona watu wajinga ukute umeajiriwa na mtu alie jiajiri. Ukiona kazi huwezi acha sitaki kuamini mtu anaejiheshimu asiefuatilia ya watu anaweza letewa figisu kama mwanaume kuwa na misimamo yako hutayumbishwa. Alafu unaandika kama wanaokuletea figisu wapo jf na kama wapo wataje mwaga nyongo
[emoji1787][emoji1787]

Familia zetu zitakuja kula kwako mkuu,
Acha hizo. Watu wa namna hii wapo kila sehemu ni kujifunza namna ya kuishi nao tu
 
Back
Top Bottom