Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Inadhaniwa ni sumu. alitoka kuuza tanzanite yenye thamani ya mil 380, huyo mama amezikomba zote
....Daaah ! Mama Chedi naye kawa Bilionea hivi hivi !:wave::love:
Inadhaniwa ni sumu. alitoka kuuza tanzanite yenye thamani ya mil 380, huyo mama amezikomba zote
Hahahahahaha.Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
Hivi Arusha kuna mabilionea wangapi?
Kila mtu analalamika maisha magumu, lakini kila siku tunasikia kuna mabilionea. Hawa mabilionea pesa zao ziko wapi? au wanaweka chini ya uvungu?
Si kila tajiri hutaka ajulikane. Na tafsiri ya bilionea ni moja tu: mtu mwenye asset zenye thamani ya at least one billion (in any currency) ni bilionea.
Watu mnaotegemea Forbes wakuambieni mabilionea toka nchi ambazo informal economy ndiyo inayo-dominate hamjui mnachokisema. Kuna Wamasai wana ng'ombe 10,000, tuseme hawa si milionea/billionea? Scatter, unamfahamu au ulishawahi kumsikia mmiliki wa Soft-Tech Consultants? Ni billionea au...?
Mke wa mtu sumu.
Mshaambiwa watu wa arusha na mwiigulllu nccheemba msipoichagua cccm mtakufa haya sasa,chagueni chama tawala msife shauri yenu,baada ya mabilionea kwisha tunafata mamilionea wote kisha malakionea wote
Inadhaniwa ni sumu. alitoka kuuza tanzanite yenye thamani ya mil 380, huyo mama amezikomba zote
mke wa mtu sumu
Nimejaribu kuangalia jarida la Forbes kuona mabilionea wa Africa lakini hawa Arusha hakuna hata mmoja.
Tatizo kubwa la Arusha ukiwanunulia vijana supu ya utumbo au supu ya ulimi unaitwa bilionea.
Malakionea wamebakia wangapi,
Tatizo nyie waarusha wenzangu mtu akiwapiga raund mbili za Viroba na mishikaki miwilimiwili basi keshawamaliza. Kesho yake utasikia mapambio mtaani watu wakimsujudu bilionea wao huyo. Inachekesha sana lakini ndo hvoWATU WANAPINGA NENO BILIONEA BILA KUWA NA POINT... WOTE WALIOSEMWA MABILIONEA NI WA UKWELI ILA KWA FEDHA ZA TANZANIA.. KWA AKILI FUPI ZA WABONGO WANAFANANISHA NA MABILIONEA WA DOLA ZA MAREKANI... wote wana asset za zaidi ya bilioni NA MIAMALA YAO NI YA BILIONI ZA KITZ
Hivi kumiliki hotel ndio kigezo cha kuwa billionare? Hivi kwa nini mnawasingizia marehemu?
Kwa vigezo hivyo inawezekana na mimi ni bilionea nisiyejijua!
Nimejaribu kuangalia jarida la Forbes kuona mabilionea wa Africa lakini hawa Arusha hakuna hata mmoja.
Tatizo kubwa la Arusha ukiwanunulia vijana supu ya utumbo au supu ya ulimi unaitwa bilionea.
Malakionea wamebakia wangapi,