Bilionea mwingine Arusha akutwa kafa chumbani

Kwa vigezo hivyo inawezekana na mimi ni bilionea nisiyejijua!

aaah bana unajijua usituvunge, mgao wa epa na marupurupu yaliyosundwa uswisi hujaambulia walao vijisenti kama vya white na mapenzi na uaminifu wote ulionao kwa chama! that's not possible
 
kafie njoro huko, wewe uliekalia umbea wa kila mahali tupe "umbea" wa huyu marehemu basi!

wewe umeshadadia hapa msiba wa eduu kama umelipwa vile. mpk SALVA mwenyewe akaja ku complain. nimeku mind mbaya. hapa tena unakuja na habari nyingine eti huijui hyo hotel... kwan wewe ndo mkandaras wa mahoteli yote hapo arachuga????
Jichek tena wewe..
 
wewe umeshadadia hapa msiba wa eduu kama umelipwa vile. mpk SALVA mwenyewe akaja ku complain. nimeku mind mbaya. hapa tena unakuja na habari nyingine eti huijui hyo hotel... kwan wewe ndo mkandaras wa mahoteli yote hapo arachuga????
Jichek tena wewe..


mh, Facilitator, umetisha mkuu..
 
wewe umeshadadia hapa msiba wa eduu kama umelipwa vile. mpk SALVA mwenyewe akaja ku complain. nimeku mind mbaya. hapa tena unakuja na habari nyingine eti huijui hyo hotel... kwan wewe ndo mkandaras wa mahoteli yote hapo arachuga????
Jichek tena wewe..

pelekesha huko, una mind kivuli, mie wala siku mind coz kwangu wewe kivuli/upepo tu, kiazi buruga wewe, nionyeshe nilipoushadadia, kwa hiyo kama salva kaja ndio tushindwe kuchangia, pita vileee, sasa tukanaaaaa weeeeee huwa sijibizani na vivuli/upepo mie! kafie njoroo huko, na hili ni jibu langu la mwisho kwako, sasa endelea kutiririka ujifurahishe, mxsiiiii ovyoo kabisa wewe, mkandarasi my foot, kama simjui nisiseme, mseme basi wewe kama unamjua, wewe mwenyewe boya tu mana unakazana na nyamayao wakati marehemu mwenyewe humjui, eduu alikuwa anajulikana ndio mana tukamuongelea, na hakuna mahali nimemuongelea vibaya kabisa, na kama papo nionyeshe, je tungeongea zaidi au unadhani nilivyoikatisha ndio nilishindwa kutiririka,
 
Habari wakuu,

Naona a town wameandamwa sana na mtoa roho. Mmiliki wa Merimont Hotels & Lodges kakutwa amefariki jioni hii ndani ya chumba cha hotel ya City Plaza, iliyopokatikati ya jiji la Arusha.

Inasemekana alikuwa na mke wa rafiki yake aitwaye Chedi na mama huyo ametoweka na mamilioni ya fedha na gari aina ya Lincoln Navigator.
Duh... basi huko A Town kwa sasa kunatisha, inabidi kila mtu amrejee Mungu wake na kmuomba ampe ulinzi maradufu, lakini pia na sisi binadamu tunapaswa kuyatenda matendo yote yamchukizayo Mungu
 
THINK OF WHAT TO WRITE!!!!Kufia hotelini kwa mtu kuna uhusiano gani na Mh.Mbunge????!!!!Au ukishasikia Arusha tu Fahamu zinakutoka!!!!??
:help::help::help::help::help::help::help::help:
Wabunge wana kazi nyingi sana. Namna hii basi hata mbunge wa jimbo la Ukonga itabidi ashughulikie madawa yanayopitia pale JNIA kwa sababu jimboni kwake ndio lango kuu la kuingizia na kutolea.
 
Hata Lema akifa mijtu ya Arusha itakuja hapa na kichwa cha habari Bilionea Lema afariki tupa kulee
 
Huenda huyo mke alipanga dili na mumewe ili wamuue na kumuibia huyo bilionea mpenda wake za watu.

Kalale unapostahili bilionea.
 
pelekesha huko, una mind kivuli, mie wala siku mind coz kwangu wewe kivuli/upepo tu, kiazi buruga wewe, nionyeshe nilipoushadadia, kwa hiyo kama salva kaja ndio tushindwe kuchangia, pita vileee, sasa tukanaaaaa weeeeee huwa sijibizani na vivuli/upepo mie! kafie njoroo huko, na hili ni jibu langu la mwisho kwako, sasa endelea kutiririka ujifurahishe, mxsiiiii ovyoo kabisa wewe, mkandarasi my foot, kama simjui nisiseme, mseme basi wewe kama unamjua, wewe mwenyewe boya tu mana unakazana na nyamayao wakati marehemu mwenyewe humjui, eduu alikuwa anajulikana ndio mana tukamuongelea, na hakuna mahali nimemuongelea vibaya kabisa, na kama papo nionyeshe, je tungeongea zaidi au unadhani nilivyoikatisha ndio nilishindwa kutiririka, punda wewe! ***** kabisa wewe.

Ww ni Nyamayao au Nyamayetu??
 
Back
Top Bottom