Bilionea mwingine Arusha akutwa kafa chumbani

Bilionea mwingine Arusha akutwa kafa chumbani

Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.

Kwani Leama ndiye anafundisha waume za watu ufuska? Wacha wafe. Wewe unagharimika halafu mwingine anaona ana haki. Vifo vingine ni vya kijinga mno. Why somebody's wife? Huyo wa kwako ana shida gani? Mlishe vizuri atapendeza. Wanaume acheni ufuska. Kama mngekuwa mnawaridhisha wake zenu wasingetoka nje ya ndoa na kusababisha madhara kwa ndoa nyingine. Bila shaka Mungu atamweka mahali anakostahili.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Billionaire?? Now this is too much kila mtu akiwa Kirenga kidogo tu ni Billionaire??

RIP Billionaire mwingine
 
Duuh Arusha kuna mabilionea?,inaonekana arusha ukishakua na bilioni moja wewe ni bilionea kama ndo hivyo basi kariakoo pale kuna mabilionea wengi sana..
 
WATU WANAPINGA NENO BILIONEA BILA KUWA NA POINT... WOTE WALIOSEMWA MABILIONEA NI WA UKWELI ILA KWA FEDHA ZA TANZANIA.. KWA AKILI FUPI ZA WABONGO WANAFANANISHA NA MABILIONEA WA DOLA ZA MAREKANI... wote wana asset za zaidi ya bilioni NA MIAMALA YAO NI YA BILIONI ZA KITZ

point...

umejibu comment za wengi mkuu.
 
Kaka Ritz vipi wasiwajibike viongozi wa vyombo vya usalama wa mkoa ambao ndio wenye jukumu la usalama wa watu na mali zao?
Mkuu Katavi,

Matukio mauji ya kutoa roha katika jiji la Arusha yamekuwa mengi sana.

Mbunge wa Arusha anatakiwa awafahamishe wananchi wa jimbo lake usalama wao.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Katavi,

Matukio mauji ya kutoa roha katika jiji la Arusha yamekuwa mengi sana.

Mbunge wa Arusha anatakiwa awafahamishe wananchi wa jimbo lake usalama wao.

kwanin kazi hii asiifanye mkuu wa mkoa au wa wilaya??
 
Last edited by a moderator:
Habari wakuu, Naona a town wameandamwa sana na mtoa roho. Mmiliki wa Merimont Hotels & Lodges kakutwa amefariki jioni hii ndani ya chumba cha hotel ya City Plaza, iliyopokatikati ya jiji la arusha. inasemekana alikuwa na mke wa rafik yake aitwaye Chedi na mama huyo ametoweka na mamilioni ya fedha na gari aina ya Lincoln Navigator.

arusha bana,hata muuza mnafu anaitwa bilionea.tena utasikia jamaa alikuwa anapiga hela arifu.n'way.RIP bilionea mwingine +watakapkufata in advance
 
Habari wakuu, Naona a town wameandamwa sana na mtoa roho. Mmiliki wa Merimont Hotels & Lodges kakutwa amefariki jioni hii ndani ya chumba cha hotel ya City Plaza, iliyopokatikati ya jiji la arusha. inasemekana alikuwa na mke wa rafik yake aitwaye Chedi na mama huyo ametoweka na mamilioni ya fedha na gari aina ya Lincoln Navigator.
He earned it. Huyo naye wanafiki watakuja hapa eti Mungu mweke pema.
 
Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
I thought mwenyekiti wa ulinzi ni mkuu wa mkoa, sasa Lema anahusikaje?
 
Arusha bana kila mtu akiwa na hotel ni bilionea. Halafu wanawake Arusha wapo wengi sana tena wazuri kupindukia sasa inakuwaje wake za watu tu!!!

Mimi naamini hao watakuwa na imani ya Freemason na sasa masharti yamewashinda kisha wanakufa vifo vya ajabu ajabu.

RIP Bilionea mwingine.

Hizo hotel zina thamani kiasi gani?
 
Mabilionair uchuro njaa tu wangesikika tangu zamani
 
Ngoja nitoke huku Ushirombo niende zangu Arusha. Manake huku watu kila siku wanaporana vimilioni mia nne, mia tatu, lakini hawapati heshima ya ubilionea!

Ah I love A-City na jinsi inavyowaenzi mabilionea wake.
 
Mtu akiwa na kauwezo ka kupiga round ya bia na kununua kilo ya kitimoto-BILIONEA
 
Back
Top Bottom