Ilu
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,199
- 1,651
Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
Kama ambavyo Rais anatakiwa awajibika kwa mauaji mengi kutokea katika nchi yake.
Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
Hivi kumbe Ritz + Hammy -D = Pacha!:help:Hili suala inabidi Lema na wenzake wawajibike haiwezekani kila siku mauaji yatokee kwenye jimbo lake.
Kwani maana ya ubilionea ni nini?Si kuwa na bilioni zaidi ya moja?Mtu mwenye hoteli ya kitalii hapa Arusha ni bilionnaire....Why?kwa sababu ile thamani ya ardhi tu aliyojengea hiyo hotel,achilia mbali hoteli yenyewe na pato lake la kila siku inaweza kumuweka kabisa ktk category hiyo( kwa hela zetu za madafu!)Arusha bana kila mtu akiwa na hotel ni bilionea. Halafu wanawake Arusha wapo wengi sana tena wazuri kupindukia sasa inakuwaje wake za watu tu!!!
Mimi naamini hao watakuwa na imani ya Freemason na sasa masharti yamewashinda kisha wanakufa vifo vya ajabu ajabu.
RIP Bilionea mwingine.
Huyu mbona simjui ama Arusha ishakuwa kubwa sana.
Kama ambavyo Rais anatakiwa awajibika kwa mauaji mengi kutokea katika nchi yake.
Kila mtu Arusha ni bilionea! Mke/mume wa mtu ni sumu
nimejaribu kuangalia jarida la forbes kuona mabilionea wa africa lakini hawa arusha hakuna hata mmoja.
Tatizo kubwa la arusha ukiwanunulia vijana supu ya utumbo au supu ya ulimi unaitwa bilionea.
Malakionea wamebakia wangapi,
Kutokana na maoni yako inamaanisha kuwa wazimbabwe wote ni billionaires na Zimbabwe inaongoza kuwa na more billionaires than any country in the world?
Hata mie nataka kujua.. Halafu huyu milionea mbona hata jina sijaliona? Wengine walipokufa picha zilirushwa sana kwenye whatsApp mbona huyu bado mpaka sasa?kwanza hiyo merimount hotel ipo eneo gani? mie ndio naisikia
HV NAMI9 NA KALE KA led tv kangu ka hisense na kavitz kangu na hela ya bia ...naweza kuingia hata kwe ulakilionea wa arusha...maana hawa jamaa wakimiliki vilodge vya bed and breakfast tu washakuwa mabilionea:disapointed: by the way....R.I.P TO COMRADEHabari wakuu,
Naona a town wameandamwa sana na mtoa roho. Mmiliki wa Merimont Hotels & Lodges kakutwa amefariki jioni hii ndani ya chumba cha hotel ya City Plaza, iliyopokatikati ya jiji la Arusha.
Inasemekana alikuwa na mke wa rafiki yake aitwaye Chedi na mama huyo ametoweka na mamilioni ya fedha na gari aina ya Lincoln Navigator.
Mhhh...!!!! Kulikoni mabilionea wa Arusha? Naona mwapungua watabaki mamilionea na laki-onea kama si elfu -onea.
Ebu tuelewane kwenye hili suala la 'ubilionea'. Bilionea ni mtu yeyote mwenye kumiliki pesa au mali ya kuanzia bilioni au zaidi ya thamani ya pesa inayohusika. Na kwa 'context' ya Tanzania tunatumia shilingi. Sasa kama mtu anamiliki hotel kati ya bidhaa zake nyingi akiwa na magari ya kutembelea na nyumba kwanini thamani yake isiwe sh. Bilioni au zaidi
Na wewe jitahidi kuzichanga hizo buku 7 za lumumba one day na wewe utakuwa bilionea
Kama nyie watu wa Arusha mmeamka mkiwa hamuifahamu kwa undani habari hii, kuna uwezekano kuwa hapa tunaingizwa choo kisichohusika kabisakwanza hiyo merimount hotel ipo eneo gani? mie ndio naisikia
Mshaambiwa watu wa arusha na mwiigulllu nccheemba msipoichagua cccm mtakufa haya sasa,chagueni chama tawala msife shauri yenu,baada ya mabilionea kwisha tunafata mamilionea wote kisha malakionea wote