Hivi Arusha kuna mabilionea wangapi?
Kila mtu analalamika maisha magumu, lakini kila siku tunasikia kuna mabilionea. Hawa mabilionea pesa zao ziko wapi? au wanaweka chini ya uvungu?
Kwa mtazamo wangu; kila mfanyabiashara wa madini mji wa AR yawezekana ni Bilionea....(japo sina hakika ni katika SARAFU/CURRENCY ipi)