Inasikitisha pale watu wanaojiita ma great thinkers wanapoanza kudadisi mambo kiutaniutani.vifo vinatokea alafu mtu anakimbilia kujadili who is a billionare and who isnt.It doesnt need a rocket scientist to understand that billlonare is a relative term, especially when used in our LDC context.
Mi nafkiri ingekua bora watu kubrainstorm nini kinaweza kua chanzo cha mauaji hayo.Kumbuka kwamba vifo hivi vinahusisha wazawa wanaomiliki vibiashara, japo vidogodogo lakini vina mchango kwa uchumi wetu.
Je, kuna uwezekano wa kuwepo na makundi ya kimafia kama yaliokuwepo nchini Kenya kwa jina la Mungiki,ama kule Italy (extortion rackets)
Haya mambo ya sijui alikua na mke wa mtu huenda yakawa kisingizio tu.
Jamani great thinkers I think you need to style up, sio kupoteza bytes kwa kujadili motion ya "billionare or not billionare?" kila wakati.