Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

CCM hata wangempitisha Mzee Majuto wangeshinda uchaguzi.

Sera za UKAWA zipi kuzungusha mikono hewani huku unaimba Lowassssssa mabadiliko.

Sera za UKAWA neno fisadi kulitaja ilikuwa marufuku Dr.Magufuli ilo neno ndiyo silaha yake ya mapambano.

Ilani na sera za UKAWA huwezi ukazijua,Magufuli zinayemsaidia kwenye kazi yake ndiye anayezijua,utaishia katika hilohilo la kuzungusha mikono hewani na kuinua dole gumba hewani.
 
Ilani na sera za UKAWA huwezi ukazijua,Magufuli zinayemsaidia kwenye kazi yake ndiye anayezijua,utaishia katika hilohilo la kuzungusha mikono hewani na kuinua dole gumba hewani.
Teh teh teh!!

Acheni unafiki juzi tu mlikuwa mnamponda kuwa hana uwezo kazi kupiga push up.

Naona sasa mnaisoma namba.
 
Marufuku kutumia pesa za serikali kupamba mapambo ya XMass ofisi za serikali hii ni amri kutoka kwa rais Dr.Magufuli nenda kamshtaki kwa mtume wenu wa Chadema Gwajima.
Kujitoa mhanga na mabomu ndio fani yenu na wala sio maendeleo mmejitoa mhanga kuiteketeza nchi kwa ufisadi mtanyooka tuu mwaka huu
 
Ilani na sera za UKAWA zilizokuwa zinalenga kutatua kero za wananchi zilikuwepo tangu mwaka 2010 kabla Magufuli hajaomba kugombea urais,mwaka 2015 Magufuli alipogombea urais na kwa kuwa alikuwa ana zijua kero za wananchi aliona njia peke ya kumaliza kero za wananchi ni kutumia ilani na sera za CHADEMA chini ya UKAWA na kuweka pembeni ilani na sera za CCM.

Hatutaki polojo apa anacho fanya Magufuli ni kile alichotumwa na wananchi hyo habari ya sera za Chadema hapa haina kazi kwani hata hao CCM hizo sera wanazo ila watendaji wake walikuwa hawazitimizi. sasa kaingia JPM jipange kwa mabadiliko ya kweli.
 
Teh teh teh!!

Acheni unafiki juzi tu mlikuwa mnamponda kuwa hana uwezo kazi kupiga push up.

Naona sasa mnaisoma namba.

Ukweli bado uko palepale kuwa bila ilani na sera safi za UKAWA Magufuli hawezi kazi.
 
Kujitoa mhanga na mabomu ndio fani yenu na wala sio maendeleo mmejitoa mhanga kuiteketeza nchi kwa ufisadi mtanyooka tuu mwaka huu
Ni kweli mkuu wangu orodha ya ufisadi wa Escrow kwenye ile benki yetu ya Mkombozi wote walikuwa wana kwaya pamoja Maskofu wetu.
 
Upinzani ndo walikata jina la Membe? Badili mada na kusema "Bila CCM imara, rais angekuwa Lowassa"
 
Wapenzi wa lowassa ndani ya NEC waliamua kuwa chaguo la kikwete (Membe) hawezi penya kwa namna yoyote ile,mpira ukamuangukia JPM!

Ila JPM alikutana ulingoni tena na Lowassa na kwa nguvu ya wananchi, akamnok lowasaa out!
Mi naona Membe kitokupitishwa kuwa mgombea wa sisiemu ndo kumewanyima ukawa kiti cha urais, hata mimi nisingempigia kura Membe, ningempigia mtu mwingine na sidhani kama Membe angekuwa na ubavu wa kishindana na lowassa!
 
Hatutaki polojo apa anacho fanya Magufuli ni kile alichotumwa na wananchi hyo habari ya sera za Chadema hapa haina kazi kwani hata hao CCM hizo sera wanazo ila watendaji wake walikuwa hawazitimizi. sasa kaingia JPM jipange kwa mabadiliko ya kweli.

Wawapi wewe hizo sera za CCM si ndiyo zimetufikisha hapa tulipo na ndio zinazomfanya Magufuli ahangaike usiku na mchana ili aweze kufanya kile alichotumwa na wananchi,Magufuli kwa upande wake akaona kuwa bila kutumia ilani na sera za UKAWA hakuna atakacho kifanya zaidi ya kucheza manyanga yaleyale ya CCM.
 
Hivi magufuli alichaguliwa baada ya upinzani kumchagua lowassa???Kuchaguliwa kwa magu hakuna uhusiano wowote na ukawa kwani kipindi ccm wanachagua ukawa hakukuwa na lolote linaloendelea kwa wakat ule.
 
Ila JPM alikutana ulingoni tena na Lowassa na kwa nguvu ya wananchi, akamnok lowasaa out!
Mi naona Membe kitokupitishwa kuwa mgombea wa sisiemu ndo kumewanyima ukawa kiti cha urais, hata mimi nisingempigia kura Membe, ningempigia mtu mwingine na sidhani kama Membe angekuwa na ubavu wa kishindana na lowassa!

upo sahihi mkuu
 
Ni kweli mkuu wangu orodha ya ufisadi wa Escrow kwenye ile benki yetu ya Mkombozi wote walikuwa wana kwaya pamoja Maskofu wetu.

Acheni ujinga anzisheni thread yenu mlumbane huko, mazombie wakubwa nyie
 
Upinzani ndo walikata jina la Membe? Badili mada na kusema "Bila CCM imara, rais angekuwa Lowassa"

Wewe umesema la maana! Membe angepitishwa, lowassa angekuwa rais!
Kama teamlowassa ndani ya sisiemu wangekuwa smart na wamgekuwa wana idea yoyote kuwa safari ya matumaini iko pale pale, basi wangemchagua Membe, njia ingekuwa nyeupee!
 
naona wengne humu hawelew kwann watu wanasema lowassa kamsaidia magufuli kupata urais ni hiv

timu zilikuwa mbili nazo ni membe na lowassa sasa tano bora alivyoingia membe timu lowassa walikuwa ni weng sana wakapiga kula kwa lengo la kumuangusha membe na juhud zikatimia ndio maana watu wanasema lowassa kasaidia

Msaada alioutoa Lowassa ni pale alipoamia UKAWA na kusababisha Dr Slaa na Prof Lipumba kususa! Hapo upinzani ulidhoofika sana
 
Wawapi wewe hizo sera za CCM si ndiyo zimetufikisha hapa tulipo na ndio zinazomfanya Magufuli ahangaike usiku na mchana ili aweze kufanya kile alichotumwa na wananchi,Magufuli kwa upande wake akaona kuwa bila kutumia ilani na sera za UKAWA hakuna atakacho kifanya zaidi ya kucheza manyanga yaleyale ya CCM.

Ninaposema watendaji hawakutimiza Ilani ya Chama unaelewa nini mkuu??
 
Acheni ujinga anzisheni thread yenu mlumbane huko, mazombie wakubwa nyie
Wewe punguani kweli unaweza kunipangia kitu cha kuandika humu JF?? Kwani ni uongo Escrow haikupigwa na wana kwaya kwa kushirikiana na benki yao ya Mkombozi.
 
Back
Top Bottom