Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

institutions (mihimili) zote zikiwa imara ndio tunapata watu imara,
 
Hakuna uhusika wowote wa UKAWA kwenye mchakato wa kumpata mgombea urais ndani ya CCM.Acheni kujibarraguza.Lowassa and his team wakiwa bado ndani ya CCM ndo wamefanya JPM aokote pera chini ya mkorosho.To me EL na timu yake hawakuwa na plan B endapo akikatwa hilo la kwenda upinzani lilitokea kama ajali tu sababu alikuwa na uwezo wa kuhakikisha kupitia timu yake mgombea kibonde anapitishwa na CCM siyo Magu ili amgaragaze akiwa nje ya CCM yaani angehakikisha mgombea hatoki ukanda WA ziwa ambako tayari CCM ina base yake mathalani angepitishwa yule mama.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Kwa taarifa yako Magufuli ndiye anayeshikilia rekodi ya kuwa na akili kuliko CCM wote kwa mwaka 2015/2020 ndio maana kaweka ilani na sera za CCM pembeni,ana fanya kazi kwa kutumia ilani na sera za UKAWA kwa kuwa zinatija kwa nchi.

Mkuu anachofanya Magufuli ni kile alichokiona kinawatatiza wananchi walio mchagua na pia alisha yaahidi kwenye kampeni zake, sasa unaposema anatumia sera za UKAWA kwa namna ipi wakati kero za wananchi aliziona kabla?
 
Mkuu, Lowassa aliingia UKAWA ikiwa tayari Magu kashapitishwa....nisaidie kuelewa Membe angepitishwaje????
 
Upinzani ungekuwa goi goi, na watu wasingekuwa wanataka mabadiliko kwa usongo basi Pombe hakuwa na nafsi kabisa. Hivyo wakaangalia ni nani anayeweza kuwaokoa kwenye jahazi ndio akapatikana Pombe

Kwa hiyo uimara wa upinzani ndio uliofanya Lowassa akatwe na kuteuliwa Magufuli?
 
Kwa taarifa yako Magufuli ndiye anayeshikilia rekodi ya kuwa na akili kuliko CCM wote kwa mwaka 2015/2020 ndio maana kaweka ilani na sera za CCM pembeni,ana fanya kazi kwa kutumia ilani na sera za UKAWA kwa kuwa zinatija kwa nchi.
CCM hata wangempitisha Mzee Majuto wangeshinda uchaguzi.

Sera za UKAWA zipi kuzungusha mikono hewani huku unaimba Lowassssssa mabadiliko.

Sera za UKAWA neno fisadi kulitaja ilikuwa marufuku Dr.Magufuli ilo neno ndiyo silaha yake ya mapambano.
 
Yaani tungezidi kuibiwa na kuumia kwa miaka mingine kumi..dah! Wanaisoma namba, tena wanaoisoma namba sio wapinzani ila 'ze sisteme'
 
Naona pro-Chadema JF wanarusha ngumi hewani juzi tu walikuwa wanatuambia kuwa Dr.Magufuli fisadi hana uwezo wa kuongoza kazi kupinga push up leo hii wanaisoma namba na Lowassa wameishamsahu. Haya ndiyo mabadiliko tunayotaka watanzania siyo kuzungusha mikono.
Tena siyo yule Rais wa juzuu muda mrefu ni kula pilau badala ya kuleta maendeleo
 
Bado una akili za kipindi cha kampeni? Tushatoka huko sasa tuna Rais wa JMT na kaanza kuwashughulikia wezi
Wewe punguani kweli hayo maneno mwambie mleta mada za Membe.
 
Tena siyo yule Rais wa juzuu muda mrefu ni kula pilau badala ya kuleta maendeleo
Mkuu sasa hivi ni marufuku kupamba picha za Noel kwenye ofisi za serikali ni kazi tu mlikuwa mmegeuza ofisi vigango vya Makanisa.

Naona umekiri mwenyewe na umejisalimisha CCM.

Vipi lakini bado unazungusha mikono??
 
UKAWA naona mnajitahidi kutafuta umaalufu kupitia Kazi za Magufuli.
Leteni hoja za maana sio umbea umbea apa mwacheni Magufuli atuletee mabadiliko ya kweli sio yale ya kuzungusha mikono na kuimba Lowassa.
 
CCM hata wangempitisha Mzee Majuto wangeshinda uchaguzi.

Sera za UKAWA zipi kuzungusha mikono hewani huku unaimba Lowassssssa madaliko.

Sera za UKAWA neno fisadi kulitaja ilikuwa marufuku Dr.Magufuli ilo neno ndiyo silaha yake ya mapambano.
Unasema kweli kabisa i.e. CCM hata wangempituisha mzee Majuto wangeshinda. Lakini wangeshinda si kwa sababu ya KUKUBALIKA kwa CCM... la. Ni kwa sababu mfumu wa uchaguzi unawabeba. BTW watanzania wengi wanasema kuondoka kwa Kikwete ikulu ni ushindi na faraja kubwa kwa nchi yote kwani huyu mzee alikuwa kama mzigo wa furushi la maji taka! Na ingekuwa huzuni kubwa kama angeweza kumwachia Membe au Asha nchi!
 
Mkuu sasa hivi ni marufuku kupamba picha za Noel kwenye ofisi za serikali ni kazi tu mlikuwa mmegeuza ofisi vigango vya Makanisa.

Naona umekiri mwenyewe na umejisalimisha CCM.

Vipi lakini bado unazungusha mikono??
Hapa ni mwendo wa mdudu sio kujeuza ofisi ni masjid kama afanyavyo dau na assad
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.

Kuna ukweli !
 
Mkuu anachofanya Magufuli ni kile alichokiona kinawatatiza wananchi walio mchagua na pia alisha yaahidi kwenye kampeni zake, sasa unaposema anatumia sera za UKAWA kwa namna ipi wakati kero za wananchi aliziona kabla?

Ilani na sera za UKAWA zilizokuwa zinalenga kutatua kero za wananchi zilikuwepo tangu mwaka 2010 kabla Magufuli hajaomba kugombea urais,mwaka 2015 Magufuli alipogombea urais na kwa kuwa alikuwa ana zijua kero za wananchi aliona njia peke ya kumaliza kero za wananchi ni kutumia ilani na sera za CHADEMA chini ya UKAWA na kuweka pembeni ilani na sera za CCM.
 
Hapa ni mwendo wa mdudu sio kujeuza ofisi ni masjid kama afanyavyo dau na assad
Marufuku kutumia pesa za serikali kupamba mapambo ya XMass ofisi za serikali hii ni amri kutoka kwa rais Dr.Magufuli nenda kamshtaki kwa mtume wenu wa Chadema Gwajima.
 
Nakubaliana na wewe 100%.Jinsi mambo yalivyokwenda,sina shaka yeyote kwamba mkono wa Mungu ulikuwepo.Hatuna budi kumshukuru Mungu sana.
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.
 
Back
Top Bottom