Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Bila upinzani imara rais angekuwa Membe

Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.

Ujumbe uko sahihi timing ya matukio ndio tatizo kidogo mkuu, Edo alikwenda CDM baada ya kukatwa CCM na Magufuli kupitishwa na sio Membe hivyo Membe hajawahi kuwa tishio CDM, ila record ingekuwa sahihi kama ungesema kuibuliwa kwa Mh JPM ni kutokana na upinzani kuwa na nguvu ingekuwa poa, ni mawazo yangu tafadhali
 
kwani magufuli aliteuliwa BAADA ya lowasa kuja chadema au kabla?

Mkuu unajua hawa wengne n ushabiki tu wa vyama ndo unawasumbua kwasababu Magufuli alipitishwa na Ccm kabla Lowassa hajaenda Ukawa, sasa haya maneno sijui wanayatoa wapi.
Alafu Magufuli alikuwa akizunguka nchi nzima kwa gari wakati wa kampeni hivo alikutana na hizi kelo za wananchi,alipoingia Ikulu ndo huyo anaanza kuzifanyia kazi sasa hili la kusema UKAWA wamemfumbua macho linakujaje?
 
si kuishukuru ukawa Bali kuishukuru Ccm Kwa kumkata lowasa, then kumchagua Magufuli! Ccm ilitangulia kumtangaza mgombea kabla ya cdm na kama shukrani cdm waipe Ccm Kwa kukatwa Kwa Edo, bila HVO zile % asinge pata
 
pamoja na nguvu ya ccm tulio nayo na udhaifu wa vyama vya upinzani kwenye uteuzi wetu lazima tujiulize! je upinzani wanamleta nani?@mwl nyerere 1995
 
System ndio iliyovuruga wanamtandao asilia ukiongozwa na EL na mtandao maslahi chini ya son of Msonga ....kuna uzi humu ulizungumzia jinsi genius mzee Apson na Majasusi wengine nguli walivyohakikisha wanalisambaratisha kundi la wanamtandao lilogawanyika baada ya son of Msonga na Mmasai kukorofishana (ambapo usishangae hata ugomvi ulitengenezwa kuwasambaratisha) ....maoni yangu tu haya ....kudos TISS
 
Sasa hapo upinzani wanahusika vipi?

Upinzani ungekuwa goi goi, na watu wasingekuwa wanataka mabadiliko kwa usongo basi Pombe hakuwa na nafsi kabisa. Hivyo wakaangalia ni nani anayeweza kuwaokoa kwenye jahazi ndio akapatikana Pombe
 
Naona pro-Chadema JF wanarusha ngumi hewani juzi tu walikuwa wanatuambia kuwa Dr.Magufuli fisadi hana uwezo wa kuongoza kazi kupinga push up leo hii wanaisoma namba na Lowassa wameishamsahu. Haya ndiyo mabadiliko tunayotaka watanzania siyo kuzungusha mikono.
 
naona wengne humu hawelew kwann watu wanasema lowassa kamsaidia magufuli kupata urais ni hiv

timu zilikuwa mbili nazo ni membe na lowassa sasa tano bora alivyoingia membe timu lowassa walikuwa ni weng sana wakapiga kula kwa lengo la kumuangusha membe na juhud zikatimia ndio maana watu wanasema lowassa kasaidia

hapo sasa nimekupata
 
Wakati tukimpongeza rais John P. Magufuli kwa tremendous job anayoifanya, tusisahau kuwapa credit UKAWA kwa kumpendekeza Lowassa kuwa mgombea urais.

Ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA ulibadili kabisa mipango yote iliyokuwa imepangwa na watawala (system) ya kumweka mtu wao Membe ambaye angeendeleza 'status quo'.

Kwa hali hiyo kama Membe angekuwa rais haya madudu yanayoibuliwa leo ya vigogo kukwepa kodi yangefunikwa na wala tusingeyajua.

Mungu ana njia nyingi sana za kumsaidia mtu anayeonewa.
Kwa hiyo UKAWA wote sasa hivi mmejisalimisha kwa Dr.John Pombe Magufuli.
 
Nafuu ya Membe,UKAWA wasingekuwa imara tangia mwanzo akili za CCM zinawatosha wenyewe wengeweza kumpitisha hata Kibajaji na professor maji marefu Kati yao mmoja angeweza kupitishwa na CCM.
 
Umeniwahi kidogo tu kwan nilitaka kuandika kitu kama hiki but thanks u've hit the bull.
Mimi nawashangaa sana wanaodhihaki na kuikashifu ukawa, yanayotokea sasa tz yanainfluence kubwa sana na upinzan. Upinzan ndo uliotufanya tujue mambo mengi hovyo yanayofanywa na viongoz wetu. Wote tunaamin kua isingekua Lowassa nchi hii angepewa Membe, urais wa magufuli ni matokeo ya ushindani wa Edo na membe aliepata sapot ya mkulu, kukiokoa chama kutokana na makundi ndo akapewa mtu neutral-Magufuli.
Pia naamin moto aliokutana nao maguful during kampeni japo ameshinda Kwa kura nyingi nako kunamfanya awajibike vyakutosha japo tunamjua ni muwajibika sbb miaka mitano si msingi sana na lowassa bado yupo na uenda akagombea tena 2020. Na iko waz kua moto aliokutana nao maguful ni matokeo ya wananch kuichukia Ccm kwa kutowajibika kwakua na viongoz wazembe, wala rushwa, viburi, wenye tamaa na uchu wa madaraka, wasiosikiliza au kukerwa na matatizo yanayowakumba raia wao. Pia tusidharau mchango mkubwa wa edo na sumaye kuhamia ukawa kwan imewapa changamoto kubwa Ccm.
Japo maguful ni mchapa kaz, sidhan kama angekua na kas hii kama asingepata changamoto kutoka upinzani au kama angeshinda urais Kwa 80%
Tutakua na Ccm imara tu kama tutakua na upinzani imara.
 
Mkuu unajua hawa wengne n ushabiki tu wa vyama ndo unawasumbua kwasababu Magufuli alipitishwa na Ccm kabla Lowassa hajaenda Ukawa, sasa haya maneno sijui wanayatoa wapi.
Alafu Magufuli alikuwa akizunguka nchi nzima kwa gari wakati wa kampeni hivo alikutana na hizi kelo za wananchi,alipoingia Ikulu ndo huyo anaanza kuzifanyia kazi sasa hili la kusema UKAWA wamemfumbua macho linakujaje?

Mkuu kuzunguka huko unaambiwa mama samia alikuwa analia kama mtoto mdogo kwa hli aliyokuwa anaikuta huko vijijini, wameapa watatumbua kila kitu tuzidi kuwaombea from pro - ukawa
 
Upinzani ungekuwa goi goi, na watu wasingekuwa wanataka mabadiliko kwa usongo basi Pombe hakuwa na nafsi kabisa. Hivyo wakaangalia ni nani anayeweza kuwaokoa kwenye jahazi ndio akapatikana Pombe

Mkuu hebu toa ufafanuzi kwani uteuzi wa Magufuli ulikuja baada ya Lowasa kuhamia chadema??
 
umenena vyema, na bado nategemea wabadili mfumo wao wa upinzani uwe more advanced hadi wabunge wa ccm waonekane sio kitu vinginevyo ni kuunga mkono ukawa tu.
 
Naona pro-Chadema JF wanarusha ngumi hewani juzi tu walikuwa wanatuambia kuwa Dr.Magufuli fisadi hana uwezo wa kuongoza kazi kupinga push up leo hii wanaisoma namba na Lowassa wameishamsahu. Haya ndiyo mabadiliko tunayotaka watanzania siyo kuzungusha mikono.

Bado una akili za kipindi cha kampeni? Tushatoka huko sasa tuna Rais wa JMT na kaanza kuwashughulikia wezi
 
Naona pro-Chadema JF wanarusha ngumi hewani juzi tu walikuwa wanatuambia kuwa Dr.Magufuli fisadi hana uwezo wa kuongoza kazi kupinga push up leo hii wanaisoma namba na Lowassa wameishamsahu. Haya ndiyo mabadiliko tunayotaka watanzania siyo kuzungusha mikono.

Kwa taarifa yako Magufuli ndiye anayeshikilia rekodi ya kuwa na akili kuliko CCM wote kwa mwaka 2015/2020 ndio maana kaweka ilani na sera za CCM pembeni,ana fanya kazi kwa kutumia ilani na sera za UKAWA kwa kuwa zinatija kwa nchi.
 
Back
Top Bottom