Tafsiri Iko ndani yako.Toa tafsiri
Una mawazo ya kimasikini sana.Yeye si ana utajiri wa maagano? Tuachane na hao wenye miungu yao. Umesahau alivyomtoa mwanawe kafara kwenye mbio za magari?
Raia wa kigeni wakianzisha biashara bongo wanapewa msamaha wa kodi kwa miaka mi5 ya kwanzaKwanini mazingira ya bongo sio rafiki?
Mbona wageni wengi wanakuja kufanikiwa hapa...
Kuna mzungu anasema ukiwa U.k hakuna fursa ambayo haijafanywa kiusahihi..hata ukienda na billions kutoboa sio rahisi..
Ila Tanzania/Africa kuna 1000 opportunities.
Roho ndo kitu gani?Ngoja niwape tafsiri halisi ya UTAJIRI
Iko hivi .....
Utajiri Umegawanyika katika Pande kuu mbili (2).
1)Utajiri wa Kiroho (Spiritual world)
2)Utajiri wa Kimwili (physical world)
Utajiri wowote ule utaouona unamilikiwa duniani basi Ulianzia ndani ya roho.
Kisha ukaja kudhihirika kwa macho ya Nyama (Physical world).
Foundation sahihi ya Kiroho ndio ita determine wewe ni tajiri wa aina gani. Sasa hapo kwenye Foundation ya Kiroho hapo ndipo Siri yenyewe ilipo !
Hivyo utakuta utajiri wa material things Huwa una principle ya "Accumulate More & More".
Tukumbuke Kuna utofauti Kati ya Accumulate na Abundance !
Anasaidia sana jamii,ana familia pia anatubeba wapuuzi kama sisi.Anatafuta pesa za nini sasa 😆😆😆😅
Bakhresa anapunja sana mishahara. Mwajiriwa dereva mshahara 150,000Sijawahi kumuona wala kusikia Bakhresa akifanya hivyo na tumeishi nae Kariakoo kwa miaka mingi sana.
Salamu kwako kakaHahahaaha
Kwani huyo dereva anayelipwa hivyo alilazimishwa kufanya kazi kwa Bakhresa? Kwanini asifanye kwengine wanakolipa zaidi?Bakhresa anapunja sana mishahara. Mwajiriwa dereva mshahara 150,000
Huu ni uhuni hata kama anaswali swala 72
Mie sioni tatizo hapo maana mbinguni kwenyewe hatuendi na mwili ila roho tu sasa kwa nini uteseke duniani?Tajiri kuingia peponi ni kipengele maana wengi wanafanya kazi nyingi na shetani kuliko Mungu. Wanaua just to get shit straight
Nashukuru kakaSalamu kwako kaka
Tafuta nyuzi za siri za utajiri wa hao Jamaa, zipo kitambo sana tu humu JF na ushahidi tele.Acha uongo. Lete ushahidi kwamba Ortega ni drug dealer. Na Bill Gates aliupata vipi utajiri wake?
Hao ndo mafundi wa upigaji, wakwepaji wakubwa wa tax na ma lobyist wa kimataifa 😂 mshamba_hachekwi ona hi😂😃Mbona sijawahi kuyaona Kwa Mark Zuckerberg,Jeff bezos, warren Buffett,amancio Ortega, Bernad arnault, Elon musk , Na matajiri wengine.
Matajiri wengi wa bongo Hela zao ni za makando kando lazima uwe na roho mbaya
Hao ni wakwepaji wakubwa wa tax na ma lobyist wa kimataifa.Acha uongo. Lete ushahidi kwamba Ortega ni drug dealer. Na Bill Gates aliupata vipi utajiri wake?
Mzee Hata hao ma billionaire was mbele nao baadhi ni 🔥🔥, ni wakwepa Kodi na ma lobyistMambo haya ya "umafia" yapo barani Afrika tu,
Kwa vile ni mifumo ya hovyo iliyopo tangu enzi na enzi.
Waafrika wengi walio fanikiwa legally ni wachache sana kuliko wale walio fanikiwa illegally.
Kuna nchi zina mifumo mizuri, Kiasi kwamba ukijituma tu na ukatia bidii hata kuwa tajiri ni rahisi sana.
Afrika kumejaa mifumo ya rushwa, uhujumu, upigaji, umimi, ubinafsi na uhovyo wa kila aina kiasi kwamba ni ngumu mtu kutoboa kwa legal ways.
Acha ujuaji kafuatilie kesi, ambayo mark Ali walipa wale mapacha waanzilishi.Hapa umechapia mwanzo mwisho ...
Facebook ilianzishwa na marafiki wa tatu Na Mark zuckerberg akiwemo.
Mtandao wa Twitter hakuwa Mark zucker
Bado natafuta mwalimu wa kufundisha courses za computer kama vile word excel PowerPoint publisher adobe acrobat chatgpt windows operating system ,Linux operating system etc.kama una hiyo skillset usisite kunicheki.Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.
Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.
Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.
Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Abrahamovich nafaham umafia wake na Rafiki yake Putin. Bill Gates sifahamu chochote mi nilidhani amepitia njia za kawaida tu bila makandokando yoyote, kwani ana tuhuma gani?Amancio Ortega ni bonge la drugs dealer.
Mbona hujawataja akina Bill Gates, Abrahamovich au sababu ushajua walipataje pataje utajiri wao?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Inafikirisha sana aiseeKuvaa nguo za gharama, na kula vyakula vya bei mbaya migahawani ni kiashiria cha umasikini.
Unaponunua nguo za gharama kila wakati na kula vyakula kwenye migàhawa ya kifahari, jua kwamba wewe ni mrija wa utajiri wa mtu fulani. Unampelekea pesa, je wewe anakupa nini?
Ukipunguza matumizi yasiyo ya lazima, ukaanzisha kabiashara kako kadogo, utatamani kukakuza na kukaongeza kabiashara kako hako.
Pia chakula cha kula nyumbani kiko healthy na fresh