Bila UMAFIA hujawa tajiri bado. Umafia ndio dira ya utajiri

TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
5,720
10,216
Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
 
Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Nilisha wahi kuhangaika sana na maisha ya utafutaji. Victim wa kuibiwa nikawa mimi, victim wa kutapeliwa nikawa mimi. Michezo yote michafu nafanyiwa mimi, hadi kusingiziwa uongo mkubwa.

Kwa kweli kuufikia utajiri wenu ni kazi kubwa na ngumu.

Nilianzisha kiwanda kidogo tu, vita haziishi, hadi kikatengenezwa tukio la moto
 
Kabisa mkuu....matajiri wanaishi maisha ya ajabu sana..yupo mmoja kula yake ni ya bei ya chini mno...haangalii TV hana starehe yeyote.......halafu anasoma sana...hajichanganyi na watu....akipewa mwaliko anatuma mwakilishi......T shirt zake na jeans zina miaka zaidi ya 10.....report za biashara zake anapenda kuziweka kwenye graph,histograms,pie chart etc.
 
Kabisa mkuu....matajiri wanaishi maisha ya ajabu sana..yupo mmoja kula yake ni ya bei ya chini mno...haangalii TV hana starehe yeyote.......halafu anasoma sana...hajichanganyi na watu....akipewa mwaliko anatuma mwakilishi......T shirt zake na jeans zina miaka zaidi ya 10.....report za biashara zake anapenda kuziweka kwenye graph,histograms,pie chart etc.
Kuvaa nguo za gharama, na kula vyakula vya bei mbaya migahawani ni kiashiria cha umasikini.

Unaponunua nguo za gharama kila wakati na kula vyakula kwenye migàhawa ya kifahari, jua kwamba wewe ni mrija wa utajiri wa mtu fulani. Unampelekea pesa, je wewe anakupa nini?

Ukipunguza matumizi yasiyo ya lazima, ukaanzisha kabiashara kako kadogo, utatamani kukakuza na kukaongeza kabiashara kako hako.


Pia chakula cha kula nyumbani kiko healthy na fresh
 
Mpaka ufikie level ya kuwa tajiri, ni lazima uwe umefanyiwa umafia hadi na wewe unakuwa mafia mkubwa.

Utajiri ni himaya, kila jicho linaiangalia himaya kwa husda. Kuna uchawi, ujambazi, figisu na michezo yote michafu.

Ukiwa tajiri utajilinda wewe na uzao wako kiroho, kimwili na kitàaluma ili usipitwe na teknolojia.

Bila kuwekeza kwenye teknolojia utajiri wako utakuwa ni wa muda mfupi tu.
Nini maana ya "umafia"?
 
Nilisha wahi kuhangaika sana na maisha ya utafutaji. Victim wa kuibiwa nikawa mimi, victim wa kutapeliwa nikawa mimi. Michezo yote michafu nafanyiwa mimi, hadi kusingiziwa uongo mkubwa.

Kwa kweli kuufikia utajiri wenu ni kazi kubwa na ngumu.

Nilianzisha kiwanda kidogo tu, vita haziishi, hadi kikatengenezwa tukio la moto
Umefuga hadi nyoka
 
Yeye si ana utajiri wa maagano? Tuachane na hao wenye miungu yao. Umesahau alivyomtoa mwanawe kafara kwenye mbio za magari?
Sasa umebadili wimbo, siyo "umafia" tena?

Kijana hakuna utajiri wa namna hizo, utajiri ni mawazo yako tu.

AlhamduliLlah Uislam unafundisha namna kuwa utajiri, wanaofata njia hizo wanatajirika tu, hakuna cha kuwazuwia.

Kwanza ni lazima uelewe, kuwa tajiri siyo kuwa na pesa zisizokuwa na kazi.
 
Back
Top Bottom