Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,079
- 136,509
Nikisikiaga jina Foxy basi namkumbuka Pam Grier.
Moja ya Great women ambao waliweza pata SUCCESS
in the most challenging times and areas.... thou not
that interested in her... I admire her in some of her related aspects..
mimi miezi mitatu tu ya ndoa, mke nimefukuza karudi kwao
PhD bana you can do beta.... Dah!
Notes nachukua zako dada..sidhani kama nitapata mke kama FF kwa kweli (no pun intended!)..naomba Mungu anipe mke mpole na mwelewa kama wewe...hata miaka mia tutadunda tu!!!
mimi miezi mitatu tu ya ndoa, mke nimefukuza karudi kwao
Kwa hilo nampa hongera sana FF, lakini pia nampa hongera MUME wake FF kwa kuweza kuishi na mwanamke kama FF for all that years!!
wifi nilikuambia natamani lile jukwaa la FF aliloliota! yaani siku hizi ukiongelea 2nd anniversary watu wanakuona like ana alien! it is a sad one, nadhani analysis ya tatizo inabidi ianzie kwenye kuzaliwa hadi sasa. kakangu eiyer alisema asubuhi labda vile wamama wanaenda kwenye siasa na kazini so watoto wanakosa malezi ya mama hadi wanashindwa jinsi ya kuishi na wenza wao? (i am looking for causal-effect relationships,lol!)
Sijui ndo ile ya uswahilini... ya kusasambura... or else hata mimi am new
Alafu Viper sema tu hizo parties zimechakachuliwa but zilikua na maana saana.
mkuu inawezekana JF ndiyo mahali pake pa kupigia story na kumwaga utumbo na hasira zote, akiwa mtaani, rafiki yake ni mumewe tu. inawezekana pia ni mke mzuri sana huyo FF-anaweza hata akakuogesha huyo.
Mwenye siri ni mumewe!
Faiza Foxy... a Complicated, Strong, Highly opinionated, Abundantly knowledged,
Controversial, Impressive, Resilient (as per MTM) Lady at JF if any....
It seems you are not only aggressive at JF - BUT at life it self and Success in
Marriage institution as a whole... THUS 30 Years of it!!!
Ni wanawake wachache mno... mno... tunaweza tunza ndoa zetu na kufikisha
umri mkubwa... Kufikisha 30 years of your marriage today na gozi
lako hilo hilo unastahili Pongezi Dear.....
Hongera saaana.
:A S-rose:.....HAPPY 30TH ANNIVERSARY DEAR...:A S-rose:
P.S. Naombe ushee siri ya mafanikio ya kuweza fika hapo....
haha Didi kwa sisi watu wa pwani na visiwani kule ... kipindi kile kulikuwa hakuna mambo ya kitchen party! mwari anafundwa na kungwi chumbani na si hadharani kama wanavyofanya sikuhizi kwenye ma hall .. chumbani kunakuwa na mashangazi , mwari, na kungwi tu..! mtoto akitoka humo kaiva na anajuwa jinsi ya kutunza ndoa yake...
kwa wanaume haichukui muda mrefu "sanasana sisi wadigo wa tanga na mombasa" kaka ama watoto wa baba mkubwa ambao wamekwisha oa .. huwa wanaongea na wewe matunzo ya mke! hakuna bag party