AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
- Thread starter
- #21
Nafikiri Mume wake lazima awe Mzungu au Mzungu design kwa kutawaliwa na FF....
Nampa HONGERA kwa kujipatia kakoloni kake kama Tanganyika ilivyo kwa Wazanzibar (Wazenji wanadai hivyo).
Miaka 30 si nyingi sana......ohhhhh, eti nini? Miaka 30 ndani ya ndoa? Khaaaa!!! Miaka yote hiyo mwanamume mmoja?
Siamini, kama wote, siamini Yeye na Yeyeeee..... Ila atakuwa mpenzi wa nyimbo za Ludacris.....
Utani Pembeni: Hongera sana mamaa FF. Kumbe ni mama na heshima yako? Samahani kwa Taarabu zote nilizokurushia. Heshima kwa mbele kuanzia leo. Ila sasa na wewe bana, kuwa basi kama mama mwenye ndoa ya miaka 30 basi. Hongera sana sana na tunasubiri miaka 50 ya ndoa yenu.
Sikonge post yako imenichekesha mno... bana Asante kwa kuniunga mkono kumtakia kheri dada.
Last edited by a moderator: