Napenda wakianza kuchambana insta, nakuaga upande wa Ray C.Jay Dee vs Ray C
Mmoja anamdiss mwenzake kwa uraibu wa ngada, mwenzae anamnyuka kwenye ugumba
Moreover, unajifunza kwamba mabifu yote yanatokana na vita vya Mapenzi, Pesa, Mamlaka na Umaarufu.
Mnagombania nini?Bifu la BICHWA KOMWE vs Nyani Ngabu
Wote wapumzike kwa amani.Bifu la Jiwe na yule mfanyabiasha teja mpaka akaikimbia nchi.
Ilikuwa noma kweli.