Bifu gani ilitikisa Taifa?

Bifu gani ilitikisa Taifa?

Udaku nao hawajambo.
Juma Nature na Sintah.
Kiroboto akaibuka na wimbo Sitaki Demu album ya Ugali.
Akawalisha ugali watoto wa kishua Diamond Jubilee Hall.
Sinta akakimbia kuigiza na utangazaji habari sababu ya Nature.
 
Zimetokea bifu maarufu sana za mastaa hapa nchini na zikajizolea umaarufu

1. Ruge na Sugu
Hii ilikuwa bonge la bifu. Baada ya Sugu kumtolea mbovu Rugs na unyanyaji wake wa fiesta

2 TMK halisi na TMK family
Lilikuwa kundi Moja baada ya kutengana aisee ilikuwa bonge la bifu

3 Ali kina na Diamond platnimuz
Hili bifu bado lipo baada ya diamond kumwonyesha dharau kina Kwa Kufuta sauti yake kwenye wimbo wa lala salama

4 Dudu baya na Mr Nice
Hili lilikuwa bonge la bifu
Dudu baya alijipigia Mr Nice kadri alivojisikia

5 Madee na Nay wa mitego
Hawa waligombania urais wa Manzese.
Aisee moto uliwaka

6. Roma na Joh Makin
Hawa walikuwa na bifu ya kugombania ukanda wa Kaskazini
Wote kwenye peak Yao hawakuwahi kufanya collabo

7 Jay Dee na clouds media
Nyimbo za j Dee hazikupigwa clouds baada ya clouds kumpa kazi Gardner aliyekuwa X wa J de

8 Sholo Mwamba na Man Fongo
Hawa waligombania ufalme wa Singeli

9. TID na Q Chilla
Hili bifu lilitisa

10 Haji Manara na Maulid Kitenge
Hawa wana bifu na Huwa haziishi licha ya wanasiasa kuingilia kusuluhusha

Sijui walifanyiana Nini hawa wazeee
Bifu la Simba na Yanga
 
Nyerere vs Idd Amin.
Amin akamkashifu Nyerere na kumuomba waingie ulingoni wazipige kavu mfano wa akina Mandonga. Nyerere akampelekea Idd Amin akina Musuguri na magobole yao wakamtimua Amin akale tende Arabuni na kobazi zake.
 
Kuna ile Bifu ya King Off All Bongo Social Media (R.I.P) na Dada wa Taifa (Mange) ile ilikuwa siyo poa kabisa (kuchoreshwa kiOCRA siyo poa kabisa)
 
Bifu la mwashambwa na akili,mwashambwa haipendi akili na akili haimpendi
20250418_204936.jpg
 
Back
Top Bottom