Bifu gani ilitikisa Taifa?

Bifu gani ilitikisa Taifa?

Tmk na east coast team
Mzee wa msoga na babu seya
Kikosi cha mizinga na nako 2 nako
Mchonga meno vs mzee jumbe,
Kuna yule jamaa alifungiwa kijijini kwao hata akitaka kutoka lazima taarifa atoe serikali ya mtaa vs mchonga meno.
Mondi na clouds fm.
 
Bifu la RIP Mzee Mengi na Prof. Muhongo baada ya Prof kumchana mzee Machache kwamba hana pesa ya kuwekeza kwenye Gesi na mafuta pesa zake labda zinatosha kutengeza Vijuisi. Paliwaka moto
 
Zimetokea bifu maarufu sana za mastaa hapa nchini na zikajizolea umaarufu

1. Ruge na Sugu
Hii ilikuwa bonge la bifu. Baada ya Sugu kumtolea mbovu Rugs na unyanyaji wake wa fiesta

2 TMK halisi na TMK family
Lilikuwa kundi Moja baada ya kutengana aisee ilikuwa bonge la bifu

3 Ali kina na Diamond platnimuz
Hili bifu bado lipo baada ya diamond kumwonyesha dharau kina Kwa Kufuta sauti yake kwenye wimbo wa lala salama

4 Dudu baya na Mr Nice
Hili lilikuwa bonge la bifu
Dudu baya alijipigia Mr Nice kadri alivojisikia

5 Madee na Nay wa mitego
Hawa waligombania urais wa Manzese.
Aisee moto uliwaka

6. Roma na Joh Makin
Hawa walikuwa na bifu ya kugombania ukanda wa Kaskazini
Wote kwenye peak Yao hawakuwahi kufanya collabo

7 Jay Dee na clouds media
Nyimbo za j Dee hazikupigwa clouds baada ya clouds kumpa kazi Gardner aliyekuwa X wa J de

8 Sholo Mwamba na Man Fongo
Hawa waligombania ufalme wa Singeli

9. TID na Q Chilla
Hili bifu lilitisa

10 Haji Manara na Maulid Kitenge
Hawa wana bifu na Huwa haziishi licha ya wanasiasa kuingilia kusuluhusha

Sijui walifanyiana Nini hawa wazeee
Manji na Jiwe
 
Zay B na sister P mnawaachaje? wale bifu lao lilikuwa real mpaka wakatungiana mashairi ya kujibishana ikawa burudani kwa mashabiki wao. Hilo bifu ilibidi waandishi wa habari wawakutanishe waombane msamaha. Kuna bifu lingine la waimba taarabu Nasma Kidogo na Khadija Kopa mpaka wakatungiana mipasho, mmoja akamuona mwenzake hana 'taarabu' na mwingine akaonwa ni sanamu la michelin
 
Reginald mengi vs fisadi papa
Bashite vs gwajima
Magufuli vs lissu
Kigogo2014 vs kamanda sirro
 
Zimetokea bifu maarufu sana za mastaa hapa nchini na zikajizolea umaarufu

1. Ruge na Sugu
Hii ilikuwa bonge la bifu. Baada ya Sugu kumtolea mbovu Rugs na unyanyaji wake wa fiesta

2 TMK halisi na TMK family
Lilikuwa kundi Moja baada ya kutengana aisee ilikuwa bonge la bifu

3 Ali kina na Diamond platnimuz
Hili bifu bado lipo baada ya diamond kumwonyesha dharau kina Kwa Kufuta sauti yake kwenye wimbo wa lala salama

4 Dudu baya na Mr Nice
Hili lilikuwa bonge la bifu
Dudu baya alijipigia Mr Nice kadri alivojisikia

5 Madee na Nay wa mitego
Hawa waligombania urais wa Manzese.
Aisee moto uliwaka

6. Roma na Joh Makin
Hawa walikuwa na bifu ya kugombania ukanda wa Kaskazini
Wote kwenye peak Yao hawakuwahi kufanya collabo

7 Jay Dee na clouds media
Nyimbo za j Dee hazikupigwa clouds baada ya clouds kumpa kazi Gardner aliyekuwa X wa J de

8 Sholo Mwamba na Man Fongo
Hawa waligombania ufalme wa Singeli

9. TID na Q Chilla
Hili bifu lilitisa

10 Haji Manara na Maulid Kitenge
Hawa wana bifu na Huwa haziishi licha ya wanasiasa kuingilia kusuluhusha

Sijui walifanyiana Nini hawa wazeee
Hapo zilizokuwa bifu serious ni namba 1, 3, 4 na 7 tu hayo mengine ya kawaida sanaaa
 
Back
Top Bottom