Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,012
- 5,838
wana masrahi binafsi naoSerikali inashindwa nini kutokomeza ujinga wa ushoga?
wana masrahi binafsi naoSerikali inashindwa nini kutokomeza ujinga wa ushoga?
Madawa ni rahisi kuyadhibiti je, mikundu ya watu ?Kwaiyo mtu akiamua kuvuta bangi au madawa ya kulevya tumwache tu
Ushoga ni kinyume cha tamaduni zetu na maadili
Hatuwezi kuishi bila kuheshimu maadili
Linda mtoto wako.Shida wakiachiwa wanataka kuambukiza wengine, hawa mbona wapo tokea muda tu na walikua wanaendelea na mambo yao hakuna mtu anakua na muda nao , shida kwa sasa haya mambo wanayalazimisha kabisa na wanaweka pesa nyingi huko kulazimisha hayo mambo yaonekane ni ya kawaida kwenye jamii na target kubwa ni watoto sio watu wazima wanaojielewa
Na mama aliruhusu , kuwa watu wazima wafanyane tu , ila wasiwaingize watotoKwani wewe mtu mzima ukifirana na mtu mzima mwenzako kwa hiyari yako inaniathiri vipi mimi au mtu mwingine?
Bangi na mirungi kuna sehemu nyingi duniani vinaruhusiwa, huo ni mjadala mwingine.Kwaiyo mtu akiamua kuvuta bangi au madawa ya kulevya tumwache tu
Hujui maana ya biblia, maanayake ni kitabuWakati serikali, wanaharakati na wapenda amani wakipambana dhidi ya kuenea kwa vitendo vya kishoga na kisagaji, mashabiki wa mambo ya ushoga na usagaji wameanza kuingiza vitendo hivyo hapa nchini kupitia kwenye biblia kwa kasi ya kutisha. Biblia hizo zimenyofolewa baadhi ya vifungu vyenye maadili na kuchomekea vifungo vya kishoga kama inavyoelezwa kwenye video hii hapa chini.
Kana kwamba hilo halitoshi, biblia hizo zimeanza kutafsriwa kwa Kiswahili ili ujumbe wa kishoga uwafikie wote watakaozisoma. Serikali isipokuwa makini kudhibiti uagizaji na uingizaji wa biblia hizo, nchi nzima itatumbukia kwenye ushoga na usagaji; hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu.
View attachment 2964514
MAONI YANGU
Mara nyingi watu wamekuwa na mtazamo hasi kwamba vitendo vya kishoga vinaanzia uarabuni kumbe sasa kila mtu anaona kuwa vitendo hivi havina mipaka na kwamba vinaweza kutokea mahali popote, iwe Magharibi au Mashariki.
Kwa kweli kama alivyosema Mwakyembe, ni vigumu sana ushoga kuingia kupitia kwenye korani kwa kuwa waislamu wana msimamo mkali. Ni rahisi kupitia kwenye biblia kwa kuwa wakristo wamegawanyika sana na wengi wao ni wachumiatumbo. Wapo tayari kuuza utu wao kwa kipande cha fedha kama Yuda alivyomuuza Yesu. Mambo kama haya huwezi kuyaona kwa waislamu. Wakrito kuna mahali wanakwama sio bure.
Nawasilish
Mtoto ana controliwa na kila kitu kilichokuepo kwenye matrix ,kuanzia kelele za majirani, redio, tv ,ndugu , nk hili jambo jamaa nguvu waliyowekeza ni kubwa si jambo la mtu mmoja tu kupambana kivyake,,,,,,wanaoelewa shida ya hili jambo wameshachukua hatua,, shida huku kupenda misaada kutatuangamizaLinda mtoto wako.
By the way watoto wa siku wao wenyewe kwa wenyewe wana lawitiana sijui utasema nani hasa anawafundisha ?
Nikuambie kitu hizi shule za uboyizini na girls hasa kwa wavulana na mabinti wa kike hasa O- level walio katika age ya mchecheto ni mbaya sana huko ndipo kufirana na kusagana wanapoanzia.
Huwezi fuga madume sehemu mmoja hii ni hatari na tena wazazi wa sasa kitoto toka primary ni hostel tu mpaka form six chances ni kubwa sana ya kuwa msenge.
Mtetezi wa USHOGA, Si Rahisi kuelewa.Utampata wapi Mlawi leo hii?? Hata huko Israel leo hii hao marabbi wao sidhani kama ni Walawi
Wewe ni mwislamu,Wakati serikali, wanaharakati na wapenda amani wakipambana dhidi ya kuenea kwa vitendo vya kishoga na kisagaji, mashabiki wa mambo ya ushoga na usagaji wameanza kuingiza vitendo hivyo hapa nchini kupitia kwenye biblia kwa kasi ya kutisha. Biblia hizo zimenyofolewa baadhi ya vifungu vyenye maadili na kuchomekea vifungo vya kishoga kama inavyoelezwa kwenye video hii hapa chini.
Kana kwamba hilo halitoshi, biblia hizo zimeanza kutafsriwa kwa Kiswahili ili ujumbe wa kishoga uwafikie wote watakaozisoma. Serikali isipokuwa makini kudhibiti uagizaji na uingizaji wa biblia hizo, nchi nzima itatumbukia kwenye ushoga na usagaji; hakuna atakayepona, awe mkristo au muislamu.
View attachment 2964514
MAONI YANGU
Mara nyingi watu wamekuwa na mtazamo hasi kwamba vitendo vya kishoga vinaanzia uarabuni kumbe sasa kila mtu anaona kuwa vitendo hivi havina mipaka na kwamba vinaweza kutokea mahali popote, iwe Magharibi au Mashariki.
Kwa kweli kama alivyosema Mwakyembe, ni vigumu sana ushoga kuingia kupitia kwenye korani kwa kuwa waislamu wana msimamo mkali. Ni rahisi kupitia kwenye biblia kwa kuwa wakristo wamegawanyika sana na wengi wao ni wachumiatumbo. Wapo tayari kuuza utu wao kwa kipande cha fedha kama Yuda alivyomuuza Yesu. Mambo kama haya huwezi kuyaona kwa waislamu. Wakrito kuna mahali wanakwama sio bure.
Nawasilisha.
katika ukristo hakuna freedom na diversity unayosema, ushoga ni dhambi, usagaji ni dhambi. hayo hayapo kwa wakristo tu, ingekuwa hivyo zanzibar, mombasa, tanga na Lamu kusingekuwa na mashoga wengi kuliko bara. juzi hapa takwimu za waziri wa zenji alisema zanzibar pekee kwenye wanadamu hata 2m hawafiki, kuna mashoga zaidi ya 3,000 meaning na mashasha zaidi ya 3,000. wote hao wanaswali na juzi kwenye mfungo walikuwa wanapiga viboko wakristo wasiofunga. hiyo ni dhambi ya kishetani inayoweza kumpata mtu wa dini yeyote.Uhuru wa Ukristo ni jambo la kujivunia na kulifurahia sana, sio sahihi kushambulia na kubeza freedom na diversity iliyopo katika Ukristo.
Ushoga ni jambo linalotakiwa kufanyiwa kazi na makanisa, misikiti na mahekalu.
Serikali inatakiwa ijikite kufanya mambo ya maendeleo na ulinzi wa nchi.
Kwanza mimi freedom na diversity nayoingolea katika Ukristo sio hiyo ya ushoga na wasio mashoga, Mimi nazungumzia Katoliki, Ulultheri, Usabato, Pentekoste n.k na hata hao waliochapisha hizo biblia ambazo Mwakyembe anatamani kungekuwa na mamlaka moja ya kudhibiti Ukristo ili ziharamishwe.katika ukristo hakuna freedom na diversity unayosema, ushoga ni dhambi, usagaji ni dhambi.
papa si ndo kwa katoliki uliyoitaja sasa ndugu?Kwanza mimi freedom na diversity nayoingolea katika Ukristo sio hiyo ya ushoga na wasio mashoga, Mimi nazungumzia Katoliki, Ulultheri, Usabato, Pentekoste n.k na hata hao waliochapisha hizo biblia ambazo Mwakyembe anatamani kungekuwa na mamlaka moja ya kudhibiti Ukristo ili ziharamishwe.
Hilo suala la ushoga na ukristo nakuachia ubishane na Anglican pamoja na papa.
Ushoga ni kinyume cha tamaduni na maadili yetuBangi na mirungi kuna sehemu nyingi duniani vinaruhusiwa, huo ni mjadala mwingine.
Madawa makali ya kulevya kama Heroine na Cocaine yana madhara makubwa kwa mtumiaji na jamii inayomzunguka ndio maana yanapigwa marufuku duniani kote, lakini ni vyema pia ukafahamu kuna wakati hizo unazoita dawa za kulevya zinatumika kwa matibabu ya kupunguza maumivu pia.
Ukigundua mmoja wa wanao ameanza TABIA ya wizi,Kwa heshima kabisa naomba niseme hawa ni wapumbavu hawajui wanachokiongea. Ifike mahali vyombo husika vihoji ajenda waliyonayo hawa watu.
Kuna jambo mahali halipo sawa, utashtuka hawa wanaupenyeza taratibu kimkakati sana umoja wa LGBTQ.
Mwafrika anapambana na tabia mbaya kwa kutokuzizungumzia, yaani zinakuwa ni mwiko. Hapa kuna ajenda ya ziada tena nzito sana.
Hatuwezi kupambana na LGBTQ kwa mtindo huu, huku sio kupambana nao ni kuueneza zaidi na zaidi. Muda utaongea.