Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,983
- 46,765
Utamaduni haudhibitiwi kwa sheria na mkono wa serikali. Serikali haitakiwi kutunga sheria kwamba kila kijana anapomkuta mzee amsalimie shikamooUshoga ni kinyume cha tamaduni na maadili yetu
Mashoga hatuwezi kuwapa uhuru ili kuleta mmomonyoko wa maadili kwa watoto wetu
Huo ushoga huko unakotoka ni tamaduni zao
Ambao na wao hawatakubali tamaduni zetu