Brother anzisha tuone vurugu humu
Kumbe unaweza kujifunza uchawi kupitia Jf!UDI unaalika nguvu nyingine za kiroho, mchawi hapendi,..., mkojo wa janaba ni uchafu unakinzana na nguvu za kichawi.. Mkojo wa janaba ni ule mkojo baada ya kufanya ngono.... Panga ukilipiga kwa ubapa ukutani linatoa sauti kubwa.. Wao kilichowastua ni sauti
Wewe ni muongo sana. Lakini I do appreciate your talents! Ni mtunzi mzuri na unauelewa mpana sana wa mambo. Nakushauri achana na huu utunzi wa kutafuta mashabiki au followers. Tumia vipaji na uelewa wako kuelimisha jamii. Jamii bado inahitaji elimu aliyokuwa anaitoa marehemu Munga Tehenani wa TKmedia. Pitia maandiko yake na tafuta namna uanze kutoa elimu hiyo ya stadi za maisha na kujitambua. Unao huo uwezo mzee. You are talented and knowledgeable enough. You also have many followers whose comments on your threads reveal their need for the education I'm talking about. Munga left a gap and you can fill it. Wasaidie watu.Sikumaliza
Mkuu training uliianzia kwa bi Tina?Rombo
Mimi ni muongo sana... DuuWewe ni muongo sana. Lakini I do appreciate your talents! Ni mtunzi mzuri na unauelewa mpana sana wa mambo. Nakushauri achana na huu utunzi wa kutafuta mashabiki au followers. Tumia vipaji na uelewa wako kuelimisha jamii. Jamii bado inahitaji elimu aliyokuwa anaitoa marehemu Munga Tehenani wa TKmedia. Pitia maandiko yake na tafuta namna uanze kutoa elimu hiyo ya stadi za maisha na kujitambua. Unao huo uwezo mzee. You are talented and knowledgeable enough. You also have many followers whose comments on your threads reveal their need for the education I'm talking about. Munga left a gap and you can fill it. Wasaidie watu.
Mkojo wa kwanza baada ya kutoooo... mbanaBibi tina awamu ya pili inasubiriwa... Mkojo wa janaba ndio upi?
Kwa sababu your story is fiction, watu wanaamini kuwa ni kweli na wewe unafurahi.Mimi ni muongo sana... Duu