Bibi Tina wa Mwananyamala

Bibi Tina wa Mwananyamala

UDI unaalika nguvu nyingine za kiroho, mchawi hapendi,..., mkojo wa janaba ni uchafu unakinzana na nguvu za kichawi.. Mkojo wa janaba ni ule mkojo baada ya kufanya ngono.... Panga ukilipiga kwa ubapa ukutani linatoa sauti kubwa.. Wao kilichowastua ni sauti
Kumbe unaweza kujifunza uchawi kupitia Jf!
 
Yamenikuta, yamenikuta mtu mzima mi najuta, yamenikuta x3, ngoja nishuke zangu kwa mama ntilie, anijazie nifanye kweli!
 
Niliwahi kupanga Temeke, nilipohama ndio nikagundua kuwa yule mama mwenye nyumba nilikuwa nammega kisela, sema alinifanyia michezo nikawa nammega bila mi mwenyewe kujua. Uchawi upo jamani
 
Sikumaliza
Wewe ni muongo sana. Lakini I do appreciate your talents! Ni mtunzi mzuri na unauelewa mpana sana wa mambo. Nakushauri achana na huu utunzi wa kutafuta mashabiki au followers. Tumia vipaji na uelewa wako kuelimisha jamii. Jamii bado inahitaji elimu aliyokuwa anaitoa marehemu Munga Tehenani wa TKmedia. Pitia maandiko yake na tafuta namna uanze kutoa elimu hiyo ya stadi za maisha na kujitambua. Unao huo uwezo mzee. You are talented and knowledgeable enough. You also have many followers whose comments on your threads reveal their need for the education I'm talking about. Munga left a gap and you can fill it. Wasaidie watu.
 
Wewe ni muongo sana. Lakini I do appreciate your talents! Ni mtunzi mzuri na unauelewa mpana sana wa mambo. Nakushauri achana na huu utunzi wa kutafuta mashabiki au followers. Tumia vipaji na uelewa wako kuelimisha jamii. Jamii bado inahitaji elimu aliyokuwa anaitoa marehemu Munga Tehenani wa TKmedia. Pitia maandiko yake na tafuta namna uanze kutoa elimu hiyo ya stadi za maisha na kujitambua. Unao huo uwezo mzee. You are talented and knowledgeable enough. You also have many followers whose comments on your threads reveal their need for the education I'm talking about. Munga left a gap and you can fill it. Wasaidie watu.
Mimi ni muongo sana... Duu
 
Back
Top Bottom