Jul 29, 2023
29
64
Habari wanajamii, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida.

Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au mbaya.

Dagaa wa nyasi (wasio na mchanga)
Gunia yenye debe 10 kilo 40 (Tsh180000/=-tsh260000/=.)
Hiyo bei ni dagaa wenye ubora (good quality).

Dagaa wachanga.
Gunia yenye debe 10--kilo 43--(Tsh 130000/= Tsh200000/=).

Bei zinabadilika kutokana na hali ya uvuvi inaweza kupungua zaidi ya hiyo bei au ikaongezeka vizuri kuwasiliana kwa simu 0755213580.

Jinsi ya mzigo utakufikia. Bus (gari ya abiria), Lorry(gari ya mzigo)

Gari ya abiria (bus) mzigo unakufikia haraka ila bei zao ni za juu kidogo. Gunia moja (Tsh20000/=) mpaka mkoani.

Gari ya mzigo (lorry) mzigo inachukua muda kidogo lakini ndani ya siku 2 mzigo unakuwa umekufikia bei yake ni ndogo ukilinganisha na bus.(tsh10000/=-tsh15000/=).

Location: Napatikana Mwanza-Kirumba-Mwaloni-Soko Kuu la dagaa na samaki.

Mawasiliano: 0755213580

Karibu.

Endapo unataka kujuwa zaidi uliza kwenye comments au piga simu.
 
Habari wanajami, narudi tena. Bei ya dagaa imepungua maana giza limeanza na uvuvi kuendelea kama ilivyo kawaida.

Bei zilizopo muda huu. Japo huwa mabadiliko yapo kutokana na uvuvi ukiwa mzuri au mbaya.

Dagaa wa nyasi.(wasio na mchanga)
Gunia yenye debe 10 kilo 40 (tsh180000/=-tsh260000/=.)
Hiyo bei ni dagaa wenye ubora(good quality).

Dagaa wachanga.
Gunia yenye debe 10--kilo 43--(tsh 130000/=--tsh200000/=).

Bei zinabadilika kutokana na hali ya uvuvi inaweza kupungua zaidi ya hiyo bei au ikaongezeka vizuri kuwasiliana kwa simu.0755213580.

Jinsi ya mzigo utakufikia. Bus(gari ya abiria), Lorry(gari ya mzigo)

Gari ya abiria(bus) mzigo unakufikia haraka ila bei zao ni za juu kidogo. Gunia moja (tsh20000/=) mpaka mkoani.

Gari ya mzigo(lorry) mzigo inachukua muda kidogo lakini ndani ya siku 2 mzigo unakuwa umekufikia bei yake ni ndogo ukilinganisha na bus.(tsh10000/=-tsh15000/=).

Location: Napatikana Mwanza-kirumba-mwaloni-soko kuu la dagaa na samaki.
Mawasiliano:0755213580
Karibu.

Endapo unataka kujuwa zaidi uliza kwenye comments au piga simu.
Haya mkuu,ajira hiyo na fursa ,!Kila la kheri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom